simbampole
Member
- Jun 12, 2012
- 18
- 13
Nina alizeti kilo 10, nataka kukamua ma
futa. Nielekezeni kwenye mashine iliyo karibu na hapa ninapoishi, Kibaha, Picha ya Ndege.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikoa ya Pwani na Dar kupata mashine ya kukamua Alizeti ni ngumu sana.Kwa mfano Dar mi naifahamu moja tu ipo Kipunguni Matembele ya 2Nina alizeti kilo 10, nataka kukamua maView attachment 2952824futa. Nielekezeni kwenye mashine iliyo karibu na hapa ninapoishi, Kibaha, Picha ya Ndege.