hellhound
Member
- Oct 13, 2020
- 17
- 15
Habari zenu wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni kwamba nina idea ya kutengeneza mobile app ambayo itakuwa ni music streaming kama ilivyo spotify ama youtube music n.k.
Kama tunavyojua kwamba app kama spotify haisupport nchi nyingi za Afrika ikiwemo Tanzania labda mpaka tutumie VPN, na matumizi ya VPN wanayafahamu watu wachache kwa hiyo inakuwa ngumu kwa watu wengi kutumia.
Kwa hiyo nilikuwa na app idea ambayo itakuwa ni music streaming app ambayo kutakuwa na artist na users wa kawaida(streamers). Ambapo kutakuwa na system ambayo verified artist tu watakuwa na uwezo wa kupost miziki yao (audio) na pia kujipatia kipato kutokana na idadi ya streamers waliosikiliza miziki yao kama ilivyo spotify.
Ninachohitaji ni mawazo yenu juu ya hii idea tu kuhusu developers, servers n.k hivyo nitajua.
Kama kuna ambaye hajanielewa vizuri kuhusu hiyo idea refer app ya spotify, nataka iwe na features zote kama spotify ila nataka itumike hapa hapa Tanzania yaani artist wawe ni hawa wa hapa Tanzania.
Asante nawasilisha.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni kwamba nina idea ya kutengeneza mobile app ambayo itakuwa ni music streaming kama ilivyo spotify ama youtube music n.k.
Kama tunavyojua kwamba app kama spotify haisupport nchi nyingi za Afrika ikiwemo Tanzania labda mpaka tutumie VPN, na matumizi ya VPN wanayafahamu watu wachache kwa hiyo inakuwa ngumu kwa watu wengi kutumia.
Kwa hiyo nilikuwa na app idea ambayo itakuwa ni music streaming app ambayo kutakuwa na artist na users wa kawaida(streamers). Ambapo kutakuwa na system ambayo verified artist tu watakuwa na uwezo wa kupost miziki yao (audio) na pia kujipatia kipato kutokana na idadi ya streamers waliosikiliza miziki yao kama ilivyo spotify.
Ninachohitaji ni mawazo yenu juu ya hii idea tu kuhusu developers, servers n.k hivyo nitajua.
Kama kuna ambaye hajanielewa vizuri kuhusu hiyo idea refer app ya spotify, nataka iwe na features zote kama spotify ila nataka itumike hapa hapa Tanzania yaani artist wawe ni hawa wa hapa Tanzania.
Asante nawasilisha.