Kwa upande wangu 4m ningeenda kufanya jambo Mbagala Rangi 3Ahsante...kwa opinion yako, kati ya hizo centres, ipi iliyo best.
Appreciate brother, kuna watu wanasifia pia mwenge..vp mwenge..?Kama unazungumzia Centre baada ya kariakoo
1)Mbagala rangitatu
2)Tandika
Hakuna pengine zaidi ya hapo...kwa mbagala niliulizia juzijuzi tu kodi Frem za ndani nikimaanisha zile ambazo azipo Centre kabisa bei ni 200,000-150,000 Tzs za Centre kabisa sikuulizia ila zidisha hapo.
Mwenge sijuagi hasa Centre yake IPO sehemu gani mpaka leo najiuliza, sehemu iliyo Main Road tu Centre hainaga sifa hizo.appreciate brother, kuna watu wanasifia pia mwenge..vp mwenge..?
MwengeUrembo