Nashukuru kwa ushauri mkuu, niafaufanyia kazi mara mojaNaona anaota ndoto za mchana,elimu haihitaji haraka kiasi hicho,ni lazima apitie diploma kisha degree,anaweza kuunga degree kwa baadhi ya vyuo kwa kupitia mature age entry,ila kwa masters hiyo ni level nyingine kabisa,wala asipoteze application fee yake
Usicheke mkuu, wengine uelewa sifuriduuhh.....hadi nimecheka!
Nashukuru kwa mawazo +mchangoHawezi pata admission ya Masters. Hilo ndo jibu!
JF...not boring at ol!
JF haishi vituko, yaani na wewe uliyeta uzi nadhani kabisa huna hata certificate maana ungejua huyo mdogo wako hata kwa miujiza hawezi kupata admission ya masters.
Mkuu mambo mengine hata hayaitaji kuuliza yapo wazi kabisa, kikawaida mtu ambaye anasoma certificate kama kafika form six ina maana hana pass nzuri na kama ni form four ina maana hata C tatu mtihani.
Kutoka hapo alipo apae hadi masters!!!!
Dear nashukuru kwa ushauri mzuri, tutaufanyia kazi ili asichelewe kuomba kwa level ya diploma. Ubarikiwe dearmmmh my dear kiukweli hicho kitu hakipo awe mpole kama antaka soma kwelikweli aende diploma kwanza au kama amefanya vizur kwa chet bas aombe degree hebu ajaribu st. Augustine kuomba degree na vyuo vingne halaf aone bt asisahau diploma coz ndo uhakia upo saana
Nini Masters bana Kampala univesty dar watakupokea usome phd kwa mwaka miwili tu!Wakuu nina mdogo wangu alisoma certificate hapa CBE akapata ajira sasa ni mwaka WA sita ofisi imeamua kumpa ufadhili WA kusoma kwa mwaka wa masomo 2012/2013 Yeye amechukua fomu za masters na tayari amejaza anataka kurejesha. Je anaweza kuchaguliwa asome masters. Kama haiwezekani aombe nn?