Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,118
Wananchi wenzangu natumaini hamjambo.
Wadau wote wa BRELA natumani mko salama,
Nina changamoto na namna ya kupata huduma BRELA
Ni muda sasa nahangaikia hili swala , ukienda ofisini kwao makao makuu wanakuambia hakuna kitu kinafanyika pale mambo/huduma zote ni mtandaoni tena anakujibu mkato tu na anahamia kwa mwingine.
Ukifungua WEB SITE yao ni complicated kiasi kwamba SIO RAFIKI KABISA kwa mtu wa kawaida.
SWALI LANGU twende wapi kupata huduma ? au ni mazingira ya kuwatengenezea VISHOKA ? ? maana hao wamejaa hapo tu nje ya ofisini kwao
MFANO TU: TO RE-ACTIVATE the old company , How to select exactly the service you want, ni ngumu terminology zilizotumika ni kama za Law kwa mtu wa kawaida ni ngumu kuzibainisha tofauti zake km zina fanana then ndio upload documents
Wadau wote wa BRELA natumani mko salama,
Nina changamoto na namna ya kupata huduma BRELA
Ni muda sasa nahangaikia hili swala , ukienda ofisini kwao makao makuu wanakuambia hakuna kitu kinafanyika pale mambo/huduma zote ni mtandaoni tena anakujibu mkato tu na anahamia kwa mwingine.
Ukifungua WEB SITE yao ni complicated kiasi kwamba SIO RAFIKI KABISA kwa mtu wa kawaida.
SWALI LANGU twende wapi kupata huduma ? au ni mazingira ya kuwatengenezea VISHOKA ? ? maana hao wamejaa hapo tu nje ya ofisini kwao
MFANO TU: TO RE-ACTIVATE the old company , How to select exactly the service you want, ni ngumu terminology zilizotumika ni kama za Law kwa mtu wa kawaida ni ngumu kuzibainisha tofauti zake km zina fanana then ndio upload documents