Nina Cheti cha Ufundi Daraja II VETA, ninaweza kujiendeleza?

Nina Cheti cha Ufundi Daraja II VETA, ninaweza kujiendeleza?

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
11,050
Reaction score
31,412
Nimejikuta nachanganyika sana na jamii ya wasomi kuanzia kanisani, kwenye familia, kwenye mitandao mathalani JF, karibuni kila mtu ni graduate wakati mimi nimesoma tu elimu ya msingi na ufundi seremala VETA.

Nilishindwa kuendelea na chochote kielimu kutokana sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Tamainio langu nami niwe mtu kati ya watu kwenye jamii yangu nje ya elimu itakua sivyo.

Swali langu jamani kwa mwenye kufahamu kama cheti cha VETA naweza kundelea nacho elimu ya juu ikiwa nimeishia la saba?

Kila la heri!
 
Kabla hujajiendeleza na chochote jiulize unataka kujiendeleza ili iweje? Je ni kuonekana nawe ni miongoni ya unaoita graduate ama kuonesha jamii kwamba nawe umo ama ni kujiongezea ujuzi ili uwe na ufanisi zaidi kwenye ufundi wako..
 
Kabla hujajiendeleza na chochote jiulize unataka kujiendeleza ili iweje? Je ni kuonekana nawe ni miongoni ya unaoita graduate ama kuonesha jamii kwamba nawe umo ama ni kujiongezea ujuzi ili uwe na ufanisi zaidi kwenye ufundi wako..

Nalo neno hilo!
 
Inawezekana mke wake ni msomi,na mtoto atakuja kuwa msomi,shida
 
Back
Top Bottom