Nina cheti cha VETA-pishi la kuku

sio good reason bwana ni lesson ...au nije tupike wote? umoja ni nguvu si unajua/ teh

wow thanks for correction,si unajua tena hata dictionary sometimes inakosea kdg lol,it will be my pleasure,if u join me,but uje na kuku wawili thawa,as u said
 
tastes yummy! thanks @smile, nitajaribu kuipikia familia!
 
Umejuaje kama ugonjwa wangu ni 'kyukyu'??

Ila napenda wa kienyeji bana.
 
Umejuaje kama ugonjwa wangu ni 'kyukyu'??

Ila napenda wa kienyeji bana.
kuku wa kienyeji hadi uweke spices kibao ndio atakuwa poa but with this other type sio lazima sana ukoleze viungio, inakamata tu poa
 
nawaonena raha sana wenye kupenda kula vikaango ivi,mie ata sijui huu mwili unashida gani,,,hamu sina yani nikila sana basi chukuchuku za nyanya chungu,bamia,hoho karot,bilinganya dagaa kidogoo nikila na ugali ivi

labda mboga ya kwetu mkunun'gu tu ndo siku iyo sherehe
 
Asante Smile ila maziwa na Karanga kwa Pamoja ..ingawa menu inaonekana iko baabarani
 
Last edited by a moderator:

Naomba uje kwangu unipikie hayo makitu nipe gharama zake nikulipe kabisaaa:wink:
 
kama mapishi yenyewe ndiyo haya, Talaka naiona ileeeeeeee
 
jana mie nilipiga ugali na dagaa na uyoga.

nilitayarisha dagaa wangu kiasi cha kujaza kikombe cha magi.
uyoga uliokaushwa, nyanya moja, kitunguu, mafuta olive, ndimu au limao, bamia, chunvi, karoti, thom, hoho,pilipili manga na soya sauce.

Nilianza kuweka mafuta na dagaa, ndimu, kitunguu thom,pilipili na kufunika kama dk.3 kisha nikaweka soya sauce vilipoanza kujikaanga nikaweka nyanya vilipochanganyika vizuri nikaweka uyoga nikakaanga vilipokaribia kuiva nikaweka kitunguu, bamia nikfunika ili bamia iive kidogo kisha nikamalizia na karoti na hoho. Pishi hili halina supu ni kavu kiaina.

kisha ugali: maji nikakoroga uji kwa sembe ulipoifa nikatia unga wa mhogo nikasonga, nikaivisha. mlo tayari.

Andaa meza. Mwenzenu napenda sana dagaa tena waliopikwa kiajabuajabu wasiwe wale wa mchuzi. ila najua kupika dagaa wa taste tofautitofauti siku nitawafundisha wale Wazaramo wenzangu.
 
Naona Smile umejiandaa kubishana na KFC,, nasikia wanakuja bongo kulisha wabongo kuku wao "Kentucky style" wanaowapa umaarufu worlwide..

Nina imani ukijipanga vizuri KFC wataisoma namba.. Wateja wote kwa smile..

Take opportunity ya kukamata marketshare mapema maana KFC soon anaanza kazi bongo,,, na akija KFC tu atakayefata ni Mac donald so wawahi mdada kipaji umekikalia hicho..
 
ngoja nitafute jiko kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…