Nina damu group 0+ na mke wangu ana group 0- msaada tafadhali

Nina damu group 0+ na mke wangu ana group 0- msaada tafadhali

Phdum

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
1,322
Reaction score
3,278
Habari waungwana,

Niende moja kwa moja kwenye mada, ni hivi mimi Nina group 0+ lakin wife ana 0- mke wangu alipopata ujauzito niliambiwa ili mtoto wetu aweze kuishi ni lazima achome sindano ya ant-D.

Sindano moja tu inauzwa laki mbili na elfu themanini kwa kipindi hicho na kweli alichoma. Swali ninalouliza hapa ni kwamba je atakapo pata mimba ya pili tena itabidi achome hii sindano?

Karibuni wataalamu wa afya
 
Yes, anatakiwa achome kila anapojifungua kama mnatarajia kupata mtoto mwengine, la sivyo mtapoteza mtoto ajae.
Thanks na je mwanamke aliejifungua kwa kisu (oparation) anatakiwa akae muda gan ndio apate ujauzito mwingine?
 
Thanks na je mwanamke aliejifungua kwa kisu (oparation) anatakiwa akae muda gan ndio apate ujauzito mwingine?
Kisu? Dah umetumia lugha kali sana, hakuna kisu kule operation room, panga tu uzazi wenu mjue lini mtapata mtoto mwingine angalau ipite miaka miwili ndio ashike nyingine
 
Habari waungwana. Niende moja kwa moja kwenye mada, ni hivi mimi Nina group 0+ lakin wife ana 0- mke wangu alipopata ujauzito niliambiwa ili mtoto wetu aweze kuishi ni lazima achome sindano ya ant-D. Sindano moja tu inauzwa laki mbili na elfu themanini kwa kipindi hicho na kweli alichoma. Swali ninalouliza hapa ni kwamba je atakapo pata mimba ya pili tena itabidi achome hii sindano?? Karibuni wataalamu wa afya
Nikiwa kama mdau wa afya senior
Ipo ivi
Ni lazima achome Kwa Kila ujauzito...

Siku nyingine uki itaji Ant-D injection
Unichek
Utapata Kwa bei ya 120-135
NB: msaada
 
Thanks na je mwanamke aliejifungua kwa kisu (oparation) anatakiwa akae muda gan ndio apate ujauzito mwingine?
Atleast after 1 year kidonda kitakua kimepona, hapo ataweza kujaribu kujifungua kwa kawaida.

Wakati anasubiri mwaka umalizike, hapo kati mnatakiwa mtumie uzazi wa mpango.
 
Nikiwa kama mdau wa afya senior
Ipo hivi
Ni lazima achome Kwa Kila ujauzito...
Hapa sasa inategemea na umbali kati yako na yangu. Maana kwa sasa nipo ifakara but na kuna jamaa angu nae alikuwa hapa ila ye kahamia musoma je akihitaji connection kwa umbali huo?
 
Hapa sasa inategemea na umbali kati yako na yangu. Maana kwa sasa nipo ifakara but na kuna jamaa angu nae alikuwa hapa ila ye kahamia musoma je akihitaji connection kwa umbali huo?
Mm nipo DSM,
Pia ant-D injection,
Huifadhiwa kwenye jokofu...
 
Habari waungwana,

Niende moja kwa moja kwenye mada, ni hivi mimi Nina group 0+ lakin wife ana 0- mke wangu alipopata ujauzito niliambiwa ili mtoto wetu aweze kuishi ni lazima achome sindano ya ant-D.

Sindano moja tu inauzwa laki mbili na elfu themanini kwa kipindi hicho na kweli alichoma. Swali ninalouliza hapa ni kwamba je atakapo pata mimba ya pili tena itabidi achome hii sindano?

Karibuni wataalamu wa afya
Kiutaratibu:
Anapata sindano moja wakati wa ujauzito kati ya wiki ya 28 na 30 pia sindani moja ndani ya saa 72 baada ua kujifungua.
 
Back
Top Bottom