nina degree ya sheria nabadilishana kituo chako

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,033
habari zenu ndugu zanguni mimi ni mwanasheria nina bachelor ya law nipo kilosa mjini (Morogoro) ndiko ninakofanya kazi nataka kuhamia Dar es salaam.
anaetaka tubadilishane nafasi jaman asisite kunitaarifu niko tayari mda wowote.
kama una ndugu, rafiki, mzazi au mlezi ni mwanasheria anatata kuhamia kilosa mjini mkoani Morogoro mwambie tubadilishane nataka kuhamia Dar es salaam.
natanguliza shukrani.
 
Mkuu umeshazichoka kesi za wamasai nini?

Haina tatizo mwambie selemani simba akutafutie mtu hapo
 
Mkuu umeshazichoka kesi za wamasai nini?

Haina tatizo mwambie selemani simba akutafutie mtu hapo
nashukuru sana kwa ku reply hakika unanipa mwangaza huyo seleman simba ni nani na yuko wap?
 
mtafte mkude Simba, na yeye anatafta watu kama wewe mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…