Gari gani mkuuHabari wakuu?
Naamini Jf ni familia moja,nimepata dharura hivyo nahitaji milioni 6 tu nitatue tatizo langu,dhamana ni gari yangu mwenyewe...gari ni zuri yaani kama jipya vile,utabaki na gari mpaka nitakaporejesha pesa yako ndani ya wiki mbili tu.
Asanteni
Ungeweka picha ya garHabari wakuu?
Naamini Jf ni familia moja,nimepata dharura hivyo nahitaji milioni 6 tu nitatue tatizo langu,dhamana ni gari yangu mwenyewe...gari ni Toyota Wish,utabaki na gari mpaka nitakaporejesha pesa yako ndani ya wiki mbili tu.
Napatikana Dar es salaam
Riba tutaelewana.
Mwenye uwezo wa kusaidia tuonane pm
Asanteni
Unakurupuka kuuliza wakati hujasoma maelekezo,kuna mijitu inakera.Gari gani mkuu
Ashasema gari ni toyota wishasa mbona husemi iyo gar ni aina gan! weka picha ili tukusaidie
Ria ni jambo moja, kama dhamana inalipa unaweza kupata pesa ya kurudisha na bado ukasota kupata Gari yako...kuna Watu Wakora kaka, na hizo ndio shughuli zao.weka picha za gari kwanza.. na nakushauri tu bora uuze hiyo gari utatue shida zako ukikaa vizuri ununue ingine... maana hizi riba za mitaani ni hatari