Unapaswa kubadili nguo za ndani hasa unapojitibia fangasi, vaa mpya zisikubane, kunywa maji mengi pia muhim usubiri ukimalize dozi ukae kidogo urudie tena na usikutane kimwili mpaka umalize dozi
Namimba ya miezi 6 nazumbuliwa na fangasi nishatumia sana dawa za mahospital lakini wapi tatizo bado lipo pale pale hadi nimekataa tamaa ya kupona kinachoni changanya zaidi na kunitia hofu kuhisi my bby wng wa tumbon je hatopata na madhara yoyote