Nina four ya 27 waheshimiwa!

Nina four ya 27 waheshimiwa!

Kufeli shule sio kufeli maisha

Huo ulikuwa usemi wa miaka ya analogy. Miaka hii ya digital kama huna shule, kila mtu atakula kwako. Miaka minne yote ushinde kwnye Uso Kitabu, halafu ujifariji kwamba kufeli shule sio kufeli maisha, kwa nini ukapoteza muda wako kwenda kukaa huko shule miaka minne ? Ina maana hukua na malengo ? Au ulienda kukua !!
 
kama wewe n member humu ilikuwa lazima ufelli. maana ukiona mtu yupo humu ndani ujue kashachezea mitandao ya kijamii mingi sana kitu ambacho kwa umri wako na elimu uliyokuwa ukiipata haviendani.. haya mamitandao yanawaharibini sana vijana. hapo ulipo unaweza kuwa umefungua page hata saba za mitanadao tufauti!!
 
Nunua ungo, nenda dukan nunua karanga na mifuko size ya kati rudi nyumban zikaange hzo karaga then zifunge hzo karanga kwenye hiyo mifuko! Tayari?

Ziweke kwenye ungo ulionunua,,, zibebe hizo karanga njoo nazo stendi! Kimbiza kila gari linaloingia na kutoka waambia karaga karaga karaga!
 
kama wewe n member humu ilikuwa lazima ufelli. maana ukiona mtu yupo humu ndani ujue kashachezea mitandao ya kijamii mingi sana kitu ambacho kwa umri wako na elimu uliyokuwa ukiipata haviendani.. haya mamitandao yanawaharibini sana vijana. hapo ulipo unaweza kuwa umefungua page hata saba za mitanadao tufauti!!
Sasa mbona unampa vidonge badala ya kumshauri afanyeje kwa kuwa maji yameshamwagika.
 
Yeah ! Mimi ni miongoni mwa candidate wa mwaka jana 2012 .Bado naamini kila kilichotokea kwangu was fate

haya mambo yakukesha kwenye mitandao ndio ya mewakost,kutwa kudownload nyimbo za Diamondo,facebook,twitter.
kwanini hautuuliza wapi uanweza kuapata material ya kukuvusha hilo daraja.Subiria mwaka kesho ugombee ubalozi wa nyumba kumi maana kigezo cha form four kinaweza kukusaidia
 
Mdogo wangu we nenda katafute certificate course yoyote uipendayo uanze nayo ili upate ujuzi na iweze kukusaidia kusonga mbele, huwezi jua waweza fika degree kama kweli una malengo ya kusoma.
 
Nunua ungo, nenda dukan nunua karanga na mifuko size ya kati rudi nyumban zikaange hzo karaga then zifunge hzo karanga kwenye hiyo! Tayari?

Ziweke kwenye ungo ulionunua,,, zibebe hizo karanga njoo nazo stendi! Kimbiza kila gari linaloingia na kutoka waambia karaga karaga karaga!

km yupo dar aje nazo hapa ubungo bei isizidi sh 100
 
Nina C ya chemistry na yalyobaki yote D ila nashukuru kwa yule alyesema mitandao ndio source i know it big issue nifanyaje?ili nifke level zenu
 
Nunua ungo, nenda dukan nunua karanga na mifuko size ya kati rudi nyumban zikaange hzo karaga then zifunge hzo karanga kwenye hiyo! Tayari?

Ziweke kwenye ungo ulionunua,,, zibebe hizo karanga njoo nazo stendi! Kimbiza kila gari linaloingia na kutoka waambia karaga karaga karaga!
hahahahah,umenifanya nilog out kwa kicheko1
 
Nina C ya chemistry na yalyobaki yote D ila nashukuru kwa yule alyesema mitandao ndio source i know it big issue nifanyaje?ili nifke level zenu

Ungeuliza hili swali mwanzoni ingekusaidia sana. Sasa sijui hata tukusaidieje.kama vip rudia level ufanye mtihani kwani ulipojikwaa siumeshapajua? Ila maisha ukiona yamekushinda kabisa achana nayo fanya mambo mengine!
 
Sasa wewe mkubwa mbona persimistic kiasi iyo? Sa kwa hayo maneno yako unadhani umesaidia chochote?
Nikweli anastahili lawama kiasi na encouragement nyingi,sa unapotoa blames bila way out unategemea nini? Ajizike au afanye suicide?
 
Nunua ungo, nenda dukan nunua karanga na mifuko size ya kati rudi nyumban zikaange hzo karaga then zifunge hzo karanga kwenye hiyo! Tayari?

Ziweke kwenye ungo ulionunua,,, zibebe hizo karanga njoo nazo stendi! Kimbiza kila gari linaloingia na kutoka waambia karaga karaga karaga!

Mkuu umenichekesha sana aisee!Inaonekana utakuwa mshauri mzuri wa ujasiliamali!lol
 
Nina C ya chemistry na yalyobaki yote D ila nashukuru kwa yule alyesema mitandao ndio source i know it big issue nifanyaje?ili nifke level zenu

Kwa marks hizo tafuta kozi yoyote inayohusu mambo ya afya zinalipa zaidi. Pia fanya application kwenye kozi za kilimo kuna chuo Tabora na sehemu nyinginezo as well as VETA wana kozi nzuri sana, tafuta zinazohusu masuala ya ujenzi unaweza anza na Technician Grade 3 kama sijakosea, then utakuwa unajiendeleza taratibu na ufikia degree Mbeya Tech au DIT
 
Don't give up, jiandikishe uruide tena mtihani.Maisha hayana haraka kama ipo ipo tu. Jaribu kutafuta hizo "C" mbili zilizobakia uendelee F5.
 
Back
Top Bottom