Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 363
Muulize Nape yeye alipenyapenyaje? Naskia ana masters!
Yeah ! Mimi ni miongoni mwa candidate wa mwaka jana 2012 .Bado naamini kila kilichotokea kwangu was fate
Nina C ya chemistry na yalyobaki yote D
BIG deal nifanyaje?
Sijui kama ilo linawezekana,form four sio sawa na std 7 ambao wamepitishwa kuanza form 1 regardless of failKana-Ka-Nsungu;Usijali, kwa matokeo haya ya mwaka huu hata wenye division 4 watapitishwa kwenda A level coz wakichukua div 1, 2 & 3 tu kuna shule zitafungwa kwa ukosefu wa wanafunzi!
thangs for this coz u give hope!