Ikitokea Timu X na Timu Y zinacheza fainali ya maamuzi ya mpira wa miguu. Mpira ukachezwa kwa dakika 120 ngoma droo. Lakini Timu X iko pungufu baada ya wachezaji wake wawili kutolewa nje kwa kadi nyekunda ndani ya dakika 90 za mchezo.
Timu zimekwenda kwenye mikwaju ya penati na Timu zote zimepata penati Tisa Tisa. Timu X wapiga penati wamekwisha lakini Timu Y Ina wachezaji wawili zaidi hawajapiga.
Je, hao wachezaji wawili Wataruhusiwa kumalizia kupiga penati zilizo salia?
Na Kama watafunga Je watatawazwa kuwa mabingwa wakati Timu X hawakukamilisha penati 11? Naomba Ufafanuzi kwa wajuzi wa sheria za mpira wa miguu.
Timu zimekwenda kwenye mikwaju ya penati na Timu zote zimepata penati Tisa Tisa. Timu X wapiga penati wamekwisha lakini Timu Y Ina wachezaji wawili zaidi hawajapiga.
Je, hao wachezaji wawili Wataruhusiwa kumalizia kupiga penati zilizo salia?
Na Kama watafunga Je watatawazwa kuwa mabingwa wakati Timu X hawakukamilisha penati 11? Naomba Ufafanuzi kwa wajuzi wa sheria za mpira wa miguu.