Ntakupa michongo mingi hpa mjini na mikoani Kuna dili saivi za kubeba maiti za covid19 kupeleka Moshi ndio zinahela kwa Sasa ntakucheki pm
😂🤣😂🤣😅Ntakupa michongo mingi hpa mjini na mikoani Kuna dili saivi za kubeba maiti za covid19 kupeleka Moshi ndio zinahela kwa Sasa ntakucheki pm
Waipige chap!maana Noah Moshi zinaibwa sanaIlete moshi,
kuna mambo inabidi ucheke tuNtakupa michongo mingi hpa mjini na mikoani Kuna dili saivi za kubeba maiti za covid19 kupeleka Moshi ndio zinahela kwa Sasa ntakucheki pm
Aisee 🤔🤔Nitakupa michongo mingi hapa mjini na mikoani kuna dili saivi za kubeba maiti za covid19 kupeleka Moshi ndio zinahela kwa Sasa nitakucheki pm
Habari za muda huu.., nakuja mojaKwamoja kwenye mada kuna gari ya Home ni ya mshua aina ya noah nataka nianze kupiga ruti za kutafuta hela ila sijui paKuanzia.
Nipeni ruti za kupiga hela au kama kuna madereva wenye experience ni ruti zip zina hela.
AHSANTENI SANA PIA NAWAKALIBISHA PM.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko serious ndo maana nimekwambia ntakucheki pm maana hizo siti za nyuma tutazitoa zote
Nikajua wanakodi range rover tu, kumbe Kuna watu wanakodi noahKama lipo vizuri, litumie kwa kukodisha watu wa harusi hivi
Kwanini hazipo mjini?Umejaribu kujiuliza kwanini huzioni zikisafirisha watu mjini?...au unadhani wewe ndo wa kwanza kuwa na hilo wazo?
Siku nyingine taja location unayopatikana wewe Ili iwe rahisi kusaidikaHabari za muda huu.., nakuja mojaKwamoja kwenye mada kuna gari ya Home ni ya mshua aina ya noah nataka nianze kupiga ruti za kutafuta hela ila sijui paKuanzia.
Nipeni ruti za kupiga hela au kama kuna madereva wenye experience ni ruti zip zina hela.
AHSANTENI SANA PIA NAWAKALIBISHA PM.