Nina gari aina ya Noah sr40 imenitesa sana kwa upande wa breki

Nina gari aina ya Noah sr40 imenitesa sana kwa upande wa breki

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Nina gari aina ya Noah sr40 imenitesa sana kwa upande wa breki, breki zake zina jam miguu ya mbele na nimesafisha piston lkn tatizo liko pale pale yaan sina raha kabisa na hii gari, mwanzoni breki zilikuwa za kurudi mara mbili au tatu ndo zinashika lkn baadae nilipobadilisha master mambo yakaharibika zikawa zinashika sana hadi natamani niirudishe ile mbovu bora nirudie hata mara saba kuliko jam iliyopo kwa sasa
 
Kwanza naomba nikupongeze kwa kumiliki chuma in town, na mwisho kabisa naomba niseme wazi kwamba sina ushauri wa kukupa zaidi tu yaku kupongeza tena kwa kumiliki mkoko
 
Well, kuna kitu ambacho hata mafundi si rahisi kugundua, ni kwamba zile tube za mafuta ya brake za rubber ambazo ndio zinaingiza mafuta kwenye pistoni za breki (caliper) zinakuwa zimevimba kwa ndani na kufanya njia kuwa nyembaba, kwahiyo ukikanyaga brake kwa kuwa unatumia nguvu ya master cylinder yale mafuta hupitabkwa pressure na kukamata brakes kwa excessive force, na kwakuwa mafuta hurudishwa yenyewe kwa recoil ya caliper, basi hushindwa kurudi kwa sababu recoil haina force ya kutosha kuovercome blockage ya pipe kama ilivyo kwa booster ya master cylinder, hivyo brake pads zinang’ang’ania kuibana disc, na hapo ndio gari tunasema ime-jam brakes, na hata ubadilishe nini hiyo jam haitaondoka, ni kubadili hizo hose tu. Sasa tafuta fundi aichunguze gari ikiwemo hizo rubber pipes za mafuta ya brake nilizokuambia ili kujiridhisha.
 
Well, kuna kitu ambacho hata mafundi si rahisi kugundua, ni kwamba zile tube za mafuta ya brake za rubber ambazo ndio zinaingiza mafuta kwenye pistoni za breki (caliper) zinakuwa zimevimba kwa ndani na kufanya njia kuwa nyembaba, kwahiyo ukikanyaga brake kwa kuwa unatumia nguvu ya master cylinder yale mafuta hupitabkwa pressure na kukamata brakes kwa excessive force, na kwakuwa mafuta hurudishwa yenyewe kwa recoil ya caliper, basi hushindwa kurudi kwa sababu recoil haina force ya kutosha kuovercome blockage ya pipe kama ilivyo kwa booster ya master cylinder, hivyo brake pads zinang’ang’ania kuibana disc, na hapo ndio gari tunasema ime-jam brakes, na hata ubadilishe nini hiyo jam haitaondoka, ni kubadili hizo hose tu. Sasa tafuta fundi aichunguze gari ikiwemo hizo rubber pipes za mafuta ya brake nilizokuambia ili kujiridhisha.
Kwani mkuu hili tatizo linatokeaga kwenye noah tuu coz hii case nmeisikia sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well, kuna kitu ambacho hata mafundi si rahisi kugundua, ni kwamba zile tube za mafuta ya brake za rubber ambazo ndio zinaingiza mafuta kwenye pistoni za breki (caliper) zinakuwa zimevimba kwa ndani na kufanya njia kuwa nyembaba, kwahiyo ukikanyaga brake kwa kuwa unatumia nguvu ya master cylinder yale mafuta hupitabkwa pressure na kukamata brakes kwa excessive force, na kwakuwa mafuta hurudishwa yenyewe kwa recoil ya caliper, basi hushindwa kurudi kwa sababu recoil haina force ya kutosha kuovercome blockage ya pipe kama ilivyo kwa booster ya master cylinder, hivyo brake pads zinang’ang’ania kuibana disc, na hapo ndio gari tunasema ime-jam brakes, na hata ubadilishe nini hiyo jam haitaondoka, ni kubadili hizo hose tu. Sasa tafuta fundi aichunguze gari ikiwemo hizo rubber pipes za mafuta ya brake nilizokuambia ili kujiridhisha.
Hongera, maelezo mazuri.
 
Baada ya kubadili master cylinder ulipaswa kufanya pushrod adjustment

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila muda ukubadilisha master cylinder unataka kufanya hivo, unaweza kupata master amabyo ipo sawa kabisa na ile iliyotoka na ikakubali tu,

Output lines za master zinatakiwa kuwa na free flow kutoka fluid reservoir, pedal ikiwa haijakanyangwa, kwa maana hiyo ukishafunga master kabla ya kufunga pipe fundi anatakiwa ajiridhishe kama brake fluid inapitiliza kwenye output lines kabla pedal haijakanyangwa, ukiona mafuta hayaji kwa free flow ndipo unatakiwa kufanya pushrod adjustment



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gari yeyote inayotumia fluid brake system na ambapo kuna rubber hose kwenye hiyo system
Niliwahi kupata shida kama hii, kwenye land rover 109 miaka hiyo mafundi ni shida

Tatizo lilikuwa kwenye clutch pedal kuna muda unakanyaga pedal na inarudi , Kuna muda ukikanyaga pedal hairudi na chombo kinakuwa free , so hakuna safari, baada ya mateso ya kushusha na kupandisha gearbox kwa mara kadhaa ndipo nikagundua hiyo flexible pipe ya chini ilikuwa mbovu hairudishi mafuta juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom