nina gundu

Kadamfu

Senior Member
Joined
Nov 18, 2011
Posts
117
Reaction score
31
jamani kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa why
 
sasa mkuu hii thread mbo0na umeitupa kwa JF doctors ...

ok kwa ushauri wa kidactari - kafanye plastic surgery uwe HB kimtindo...
 
Jaribu ku update mistari yako itakuwa ime expire.
 
kweli ilo gundu mpaka ata wale wa ucku,
 
Mungu anakuepusha na hatar ya dhambi na magonjwa ya kisasa

kaa chini piga magoti ,tubu na umshukuru mungu
 
Tafuta watu wa zamani kidogo wakupe ustadi wa kutongoza. Sisi wa sasa kwa kweli hatuna ujuzi huo kwani siku hizi kina-she hawapendi kupotezea watu muda kwa kujifanya hawataki. Sina kumbukumbu hata huyu mke wangu kama nilimtongozaga, kwa sababu hata sikumbuki tulianza anzaje mpk yakatukuta haya ya kuishi pamoja.
 
Nenda loliondo kapate kikombe cha babu:smash:
 
Kula chungwa asubuhi kabla hujatoka home nuksi zote zinaondoka.Unadhani kwanini kwenye breakfast halikosekani mahotelini?
 
M2 wangu vumilia kwani inawezekana huwa unatongoza madem walio ju ya uwezo wako more than classic pia angalia swaga zako bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…