Nina hamu na uji wa ulezi....

Ha ha ha wapi huko mamito? Asee na mi utakuja nipikia uji wa Shanga...


Iko wapi hiyo? ukinishika tunashikamana tu.....lol,,,,umeshapika uji wa shanga?

kwa jinsi ambavyo nina wananiihii.....nitawapikia uji wa shanga ambao hata Omega mbado kuona....wallah hamtaamini
 
Nadhani huyu bwana anaitaji uji wa ulezi mzito na maziwa machachu, kisha uweke asali kidogo. Ukikaribia poa unaweka sukari na blue band. Hapo akikamato atakoma aliyekamatwa. ahaahhaaaaaaaaaaaaaaaaa

why all those efforts? kwani huwa haisimami bila uji???
 
kwa jinsi ambavyo nina wananiihii.....nitawapikia uji wa shanga ambao hata Omega mbado kuona....wallah hamtaamini

Mama uji wa shanga ndo upi huo ..pamoja na kutembea vijiji vyote sijawahi kuusikia.
 
kwa jinsi ambavyo nina wananiihii.....nitawapikia uji wa shanga ambao hata Omega mbado kuona....wallah hamtaamini
mtoto wakike mzima? Nimekuta umenitwangia ila sikuweza kukutwangia back, naomba tuongee luch time eeh mama eeh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…