mtoto wakike mzima? Nimekuta umenitwangia ila sikuweza kukutwangia back, naomba tuongee luch time eeh mama eeh.
Mama uji wa shanga ndo upi huo ..pamoja na kutembea vijiji vyote sijawahi kuusikia.
ehhh unataka uji ennh?
mwambie kama hajui na uji huo hupendeza sana kunywewa jioni jua likiwa limezama na sehemu yenye utulivu ndo unashuka vizuri.pole sana bi dada....uji huo unapatikana mjini....nitembelee nikupikie
ehhh unataka uji ennh?