Kuna msicha flani aliolewa akiwa na mimba lakini cku ya kujifungua kwabahati mbaya mtoto alifariki! Basi maisha yakaendelea takribani miaka mitatu bila ya kushika mimba tena! Ikawa marumbano,ungomvi,chuki na kutokuelewana ndani ya nyumba. Wiki moja mbele yule mwanaume akamfukuza yule mwanamke. Ila kwa7bu ya ukarimu na uzuri wa yule mwanamke akapata mfadhiri ya kumsaidia sehemu ya kuishi kwa muda basi maisha yakaendelea kwa miezi mitatu mbeleni yule mwanamke akashika mimba ya yule yule aliyemfadhili. Kwaiyo sometimes tatizo ilanaweza kuwa kwa huyo mwenzako.