Nina hamu ya kujua, hivi marais enzi za udogo wao walikuwa wanahisihisi urais

Nina hamu ya kujua, hivi marais enzi za udogo wao walikuwa wanahisihisi urais

mwibamwiba

Senior Member
Joined
May 22, 2015
Posts
150
Reaction score
38
Nafasi kubwa ya urais ninaamini ni mpango wa mwenyezi Mungu ila Je, tangu utoto wao hawajaahi kuoteshwa jambo lolote linaloashiria mamlaka hayo makubwa duniani na Je, wao huwa na mawazo kama yetu au wanakuwajekuwaje maana Rais anaweza kuagiza watu wote wasitoke nje na wasitoke sasa ni wazi kuna nguvu kubwa katika sauti yake iliyowezeshwa na Muumba mwenyewe.

Wao wana maoni gani juu ya kuwa na vyeo vikubwa ni bahati au wanasiri kubwa sana ya Muumba, haijalishi mana wapo watu wasiotarajiwa ila walipata urais kama Hittler, Idd Amin na wengine. Katika maongezi ya kawaida na marafiki zao huenda wanaulizana unajihisi vipi kuwa mkuu wa nchi wao huwa wanajibuje?
 
Mkuu inategemea na unaongelea urais wa nchi gani asee kama ni Tanzania yetu mbona ni simple sana kuwa Rais haitaji hata maono na ndoto...Ni sera ya je mifuko yako imejaa? Basi umelamba nchi unajimwaya mwaya hapo kwa miaka yako 10 ...unamwachia mwingine...PERIOD.
 
Back
Top Bottom