Nina hitaji kujua kiundani kuhusu Scania trucks na model zake

Nina hitaji kujua kiundani kuhusu Scania trucks na model zake

don-mike

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
600
Reaction score
1,178
Nna hitaji kujua kiundani kuhusu Scania trucks na model zake. Kuna threads nyingi humu ndani zimeongelea Trucks kwa ujumla, hasa ziki compare trucks za mchina na mzungu. Ila hakuna thread iliyozichambua model tofauti tofauti za Scania (Truck Pendwa).

Mwenye uzoefu na model yoyote ya Scania naomba ushuhuda wenu wa utendaji kazi wake.
 
Okay labda uulize tu swali Moja Kwa Moja linalokusumbua
Au labda useme ni uko interested na scania ipi nikuchambulie
Mimi ni fundii wa scania na nimeenda course za Saab scania Kila zinapokuja model mpya lazima lazima tupate short course ya kuzitumia zenu tunasambaza utaalamu Kwa madereva wengine
 
images (35).jpeg
 
Unataka uchambuliwe Kwa ukubwa/ujazo wa injini mfano zenye 9000cc/11,000cc/12,000cc/14,000cc hapo kwenye 9000cc Kuna uzao wa kwanza 91 series zenye nguvu (HP) tofauti,ikaja 92/93/94/95. 93 series Ndio zile zina cabin ya box, 94 series hizi ni za kisasa mtaani wanaita mayai, 95 hii injini imetumika katika Bus.

Pia Scania zipo matolea kulingana na Cabin au Kazi ambazo inatakiwa kufanya kuna G,P,S na R.
Hapo unaweza ukawatonya wajuzi zaidi wakakudadavulia vizuri mashine ya mswidishi unayotaka.
 
Unataka uchambuliwe Kwa ukubwa/ujazo wa injini mfano zenye 9000cc/11,000cc/12,000cc/14,000cc hapo kwenye 9000cc Kuna uzao wa kwanza 91 series zenye nguvu (HP) tofauti,ikaja 92/93/94/95. 93 series Ndio zile zina cabin ya box, 94 series hizi ni za kisasa mtaani wanaita mayai, 95 hii injini imetumika katika Bus.

Pia Scania zipo matolea kulingana na Cabin au Kazi ambazo inatakiwa kufanya kuna G,P,S na R.
Hapo unaweza ukawatonya wajuzi zaidi wakakudadavulia vizuri mashine ya mswidishi unayotaka.
Kuna 81.......pia mkuu
 
Okay labda uulize tu swali Moja Kwa Moja linalokusumbua
Au labda useme ni uko interested na scania ipi nikuchambulie
Mimi ni fundii wa scania na nimeenda course za Saab scania Kila zinapokuja model mpya lazima lazima tupate short course ya kuzitumia zenu tunasambaza utaalamu Kwa madereva wengine
Next gen zina shida gani?
Kwa amii wa buguruni, ilianguka ikiwa mpya kabisa haina hata trip tano tangu itoke dukani!

Vivyo hivyo kwa wale wauza yoghurt, yakwao Pia ilianguka kwenye trip za mwanzo kabisa ikiwa na upya wake..

Kama haitoshi wale wasomba makaa wa dodoma yao pia imeanguka ikiwa ni trip yake ya tatu tu toka itoke dukani!

Hapo sijaweka nyingine mbili za wakenya!!
 
Next gen zina shida gani?
Kwa amii wa buguruni, ilianguka ikiwa mpya kabisa haina hata trip tano tangu itoke dukani!

Vivyo hivyo kwa wale wauza yoghurt, yakwao Pia ilianguka kwenye trip za mwanzo kabisa ikiwa na upya wake..

Kama haitoshi wale wasomba makaa wa dodoma yao pia imeanguka ikiwa ni trip yake ya tatu tu toka itoke dukani!

Hapo sijaweka nyingine mbili za wakenya!!
Hatari sana, hizi next generation ikipiga chini ikachakaa Cabin. Kuipata Cabin mpya Unaweza ukaletewa Bei mlima.
 
Okay labda uulize tu swali Moja Kwa Moja linalokusumbua
Au labda useme ni uko interested na scania ipi nikuchambulie
Mimi ni fundii wa scania na nimeenda course za Saab scania Kila zinapokuja model mpya lazima lazima tupate short course ya kuzitumia zenu tunasambaza utaalamu Kwa madereva wengine

Binafsi ningeeomba unipe ubora wa P hasa P380, mazuri na mabaya yake

G500 pia, shukran
 
Okay labda uulize tu swali Moja Kwa Moja linalokusumbua
Au labda useme ni uko interested na scania ipi nikuchambulie
Mimi ni fundii wa scania na nimeenda course za Saab scania Kila zinapokuja model mpya lazima lazima tupate short course ya kuzitumia zenu tunasambaza utaalamu Kwa madereva wengine
Muhimu ni kujua tractor unit model ipi inafaa kwa sasa kwa matumizi ya kibiashara kwa Tanzania kwa kufanya local trips.

Model zipi zimeonekana na usumbufu (spare parts na mafundi), uimara wa gari kufanya trip nyingi bila break down, etc.

Trucks nyingi kwenye mtandao ni automatic gearbox. Je vipi hapa kwetu madereva wanazimudu? Vipi kuharibika haribika, etc
 
Muhimu ni kujua tractor unit model ipi inafaa kwa sasa kwa matumizi ya kibiashara kwa Tanzania kwa kufanya local trips.

Model zipi zimeonekana na usumbufu (spare parts na mafundi), uimara wa gari kufanya trip nyingi bila break down, etc.

Trucks nyingi kwenye mtandao ni automatic gearbox. Je vipi hapa kwetu madereva wanazimudu? Vipi kuharibika haribika, etc
Ukizungumzia local trips kwa Tz bado huwezi kuacha kuziongelea safari ndefu!

Upande wa scania, R series ndiyo ilikuwa designed kwa safari ndefu though kwa sasa imeongezeka S series.

Sijui uwezo wako kifedha plus uzoefu wako ila usibaki nyuma saaana, chukua R440 2012 model hasa lile khadija kopa (tag axle).. nadhani hata wewe unaziona zilivyozagaa!!

Haiteseki na milima, kwa mbio hapo ndiyo kwao!!

Hazina magonjwa ambayo ni common hivyo itategemea na unavyoitunza ukizingatia mafundi wako kila kona hadi mafundi pikipiki wanaweza kufix matatizo ya scania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwenye miji mikubwa, spare zimezagaa kiasi kwamba vitu kama filters, water separator unaweza kununua hata Kwenye duka la mangi [emoji28][emoji28][emoji28]

Kuhusu madereva aisee hapa tuwe serious kidogo! Ajiri mtu ambae atleast anaweza kusoma kingereza na kukielewa. Awe trained, na aendeshe kwa kufuata user guide!

Hizo gari ni smart trucks zinazohitaji smart drivers.. lazima dereva ajue kila kilichopo ndani ya cabin kina kazi gani na kinatumika wakati gani!!
Ile instrumental cluster inatoa taarifa mbalimbali ambazo ni lazima dereva ajue hiyo taarifa inahusu nini..

Mwisho dereva lazima awe msafi tena msafi sana, ikiwezekana awe ni mtu anaependa magari!

Ngoja niishie hapo wataalam watakuja kufafanua zaidi!!
 
Back
Top Bottom