Nina hofu huenda nimeambukizwa UKIMWI, Naombeni ushauri wenu jamani!

Punguza kunywa vinywaji baridi hio ni tezi la koo Kiukweli linaumaga sana ila ucjaribu kurudia tena kusex na huyo mama huwez jua
 
Amen
 
Wewe jamaa waonyesha unaugua uoga kuliko ugonjwa.

Cha muhimu kuelewa ni kuwa hata ukipata maambukizi wakati huu Duni imepiga hatua kubwa sana kwenye matibabu ya Ukimwi.

Pia ukumbuke kuwa kuna Magonjwa mengine yasiyoambukizwa na ni hatari mara kumi zaidi ya ukimwi, na ni bora uombe sana Mungu usiugue hayo...Magonjwa kama Kisukari, Presha, Saratani n.k.

Kwa dalili ulizotaja una chansi ndogo sana kuwa ni ukimwi, unless kama vipimo vyenu vya awali havikuwa sahihi.
 
Hahaa
Tosa boy ulienda kupiga peku peju Ipamba kwa manesi au Iringa girls (Zoo)?
Au ulienda kula mizigo ya kujiuza town?
 
Kumbe jamaa ni bingwa wa ngono zembe wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh ulimaliza ndani ya DK 2 ...halafu unahofu ya ngoma???? Tupia kapicha ka mama asali mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…