Abuu hanifa
JF-Expert Member
- Aug 17, 2021
- 256
- 275
Serikali inatumia karibu 1,000,000,000,000/- kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya serikali. Hii ikiwa ni pamoja na kulipa mishahara ya watumishi.
Pesa hii sawa na pato ya siku 1 tu kwa kanda ya ziwa pekee iwapo itawekwa sh 100 kwa kilo moja ya unga wa dona/ sembe.
Inakadiriwa kanda ya ziwa INA zaidi ya watu mil 4 ambapo kila watu 4 hula kilo moja.
Hii ni sawa na 4,000,000*100*4,000,000÷4
=40,000,000,000,000/-
Mara arobaini ya makadirio.
Kama hilo ni sahihi manake eitha kuna wizi mkubwa wa fedha za umma au kuna mianya mingi ya kupoteza pesa.
Wachumi watusaidie hili
Pesa hii sawa na pato ya siku 1 tu kwa kanda ya ziwa pekee iwapo itawekwa sh 100 kwa kilo moja ya unga wa dona/ sembe.
Inakadiriwa kanda ya ziwa INA zaidi ya watu mil 4 ambapo kila watu 4 hula kilo moja.
Hii ni sawa na 4,000,000*100*4,000,000÷4
=40,000,000,000,000/-
Mara arobaini ya makadirio.
Kama hilo ni sahihi manake eitha kuna wizi mkubwa wa fedha za umma au kuna mianya mingi ya kupoteza pesa.
Wachumi watusaidie hili