Wapendwa katika bwana ni matumaini yangu mu wazima wa afya na mambo yanaeda kama yalivyopangwa , Nina Idea nataka kuimplement na makampuni ya simu , je naanzia wapi ? just advice plz
cha kwanza register hio idea yako, pili unapoenda kukutana nao record huo mkutano ili pindi wakitaka kukuzunguka unavielezo/ushahidi utakaokulinda na kukuletea malipo mazuti kabla kazi haijafanyika
muhim zaidi utakuwa umeweza kuti da idea yako 50%