Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
Wana wa nchi hususa tunaosaka ajira, nilikuwa na imani kiasi kwa hawa utumishi na ajira zao ila sasa imetoweka. Wao wanadai ukifanya usaili wa mahojiano na ukapata wastani wa alama 50 tayari unafaa kuwa mtumishi wa umma hivyo unawekwa kwenye kanzidata yao.Swali:kwanini watangaze nafasi za ajira watu waombe wakati waliyoko kwenye kanzidata hawajapangiwa vituo? Binafsi najua nimo kwenye kanzidata yao na nina imani kuwa alama zaidi ya hizo wanazozitaka (50), na kuna wenzangu pia kama 8 hivi wote tulifanya mtihani wa mahojiano toka mwezi Agosti kimya mpaka sasa.
Nimeleta uzi huu humu maana wao kuna jambo niliwauliza walinijibu kihuni huni tu ko naona wanachezea ufahamu wa watafuta kazi haw. Ninyi mnasemaje Waungwna?
Nimeleta uzi huu humu maana wao kuna jambo niliwauliza walinijibu kihuni huni tu ko naona wanachezea ufahamu wa watafuta kazi haw. Ninyi mnasemaje Waungwna?