Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Nimeona nijitokeze hadharani kuelezea idadi ya kadi za vyama vya siasa ninazomiliki ili kama kuna sheria inayokataza mtu kuwa na kadi zaidi ya moja za vyama vya siasa nisifungwe bure.
1. Kadi ya NCCR, UDP na TLP nilizipata mwaka 2005 wakati wa uchaguzi mkuu. Wakati huo niko shuleni wakati wa kampeni wanasiasa wa vyama mbalimbali walikuwa wanatufuata wenyewe wanatupatia kadi hizo bure bila kuomba.
2. Kadi ya CCM na CHADEMA nimezipata 2010 bila kuziomba kama hii ya CDM alipewa jamaa fulani akaniletea nyumbani wakati mm ndio nimetoka chuo.
Tangu nichukue hizi kadi sijawahi kuona mtu yeyote akinifuata nizilipie na sijalipia hata kadi moja.
Naomba kufahamishwa kama nina kosa kisheria ili nizichome moto zote,au mnichagulie nibaki na kadi gani.
Asanteni naomba kuwasilisha.
1. Kadi ya NCCR, UDP na TLP nilizipata mwaka 2005 wakati wa uchaguzi mkuu. Wakati huo niko shuleni wakati wa kampeni wanasiasa wa vyama mbalimbali walikuwa wanatufuata wenyewe wanatupatia kadi hizo bure bila kuomba.
2. Kadi ya CCM na CHADEMA nimezipata 2010 bila kuziomba kama hii ya CDM alipewa jamaa fulani akaniletea nyumbani wakati mm ndio nimetoka chuo.
Tangu nichukue hizi kadi sijawahi kuona mtu yeyote akinifuata nizilipie na sijalipia hata kadi moja.
Naomba kufahamishwa kama nina kosa kisheria ili nizichome moto zote,au mnichagulie nibaki na kadi gani.
Asanteni naomba kuwasilisha.