KIKI CORAL
Senior Member
- May 10, 2023
- 183
- 313
Picha za maharage au?Picha?
Picha za maharage au?
itakua alidhani picha ya kasuluWw ulidhan ya nn
Unamaanisha Hujui maharage had uone Picha? Sisi wafanya bishara tunajua mteja anayehitaji anakuja je.Ww ulidhan ya nn
Mkuu watu wapo seriously nyie munaleta utani. kama unataka Picha yamaharage si uende gengeni ukaoneitakua alidhani picha ya kasulu
Kuna ya njano , soya ya kitenge nk sasa unaambiwa vizuri unaleta ego mkuu watu wanamaanisha leta picha au describe vizuri aina ya maharage yako ili wafanyabiashara waamueMkuu watu wapo seriously nyie munaleta utani. kama unataka Picha yamaharage si uende gengeni ukaone
Kwahiyo mtu anauziwa bila kuona kweli?Unamaanisha Hujui maharage had uone Picha? Sisi wafanya bishara tunajua mteja anayehitaji anakuja je.
okay ni ya njano Mkuu.Kuna ya njano , soya ya kitenge nk sasa unaambiwa vizuri unaleta ego mkuu watu wanamaanisha leta picha au describe vizuri aina ya maharage yako ili wafanyabiashara waamue
sawaKwahiyo mtu anauziwa bila kuona kweli?
Waha hamjui biashara
yapo hapo ka shayoKasulu sehemu gani?
Huyu ni Muha halisi,hamna haja ya DNA😆😆Kwahiyo mtu anauziwa bila kuona kweli?
Waha hamjui biashara
Hapa unachemsha Kama yapo si upige tu picha!?Unamaanisha Hujui maharage had uone Picha? Sisi wafanya bishara tunajua mteja anayehitaji anakuja je.