Nina laki 7 nahitaji wazo la biashara

Nina laki 7 nahitaji wazo la biashara

Tembela mashine ya kusaga na kukoboa iliyo karibu nawe (iliyochanganya), ongea na mmiliki uweke mahindi yako gunia 5 (kwa laki 6) na pumba gunia 5.

1. Utauza mahindi na unga

2. Utauza pumba

Hela yako itarudi na hutakufa njaa
 
biashara ya dagaa kama una mtu mwanza itakuwa poa kisha nunua mafuta kaanga mwenyewe paki mwenyewe balance mtaji ununue baskeli anza kutembeza door to door
 
Naomba nije nifanye hivyo kwenye mashine yako
Tembela mashine ya kusaga na kukoboa iliyo karibu nawe (iliyochanganya), ongea na mmiliki uweke mahindi yako gunia 5 (kwa laki 6) na pumba gunia 5.

1. Utauza mahindi na unga

2. Utauza pumba

Hela yako itarudi na hutakufa njaa
 
Fanya Biashara ya matunda, tafta location nzuri tengeneza banda kizuri kinaweza kua cha kuhamishika au cha moja Kwa moja, nenda kwenye masoko wanayo uza matunda Kwa bei ya jumla yasafishe vizuri mengine weka kwenye vifungashio anza kuuza, zingatia usafi
 

Attachments

  • fd3b0ffe16bcd727e416e788a47173a8.jpg
    fd3b0ffe16bcd727e416e788a47173a8.jpg
    116.1 KB · Views: 15
Unaishi wapi mkoa,wilaya,kata gani??
Umemaliza chuo mwaka gani?
Baada yakumaliza au kabla umeshawahi jihusisha na biashara gan?
nikipi kipo moyoni mwako unatamani kukifanya? Nijibu hayo nikupe wazo mkuu coz Biashara sio rahis kam unavyo dhani

Ninayo laki Saba na nigraduate shahada ya ualimu nahitaji biashara ushauri wenu tafadhari
 
Back
Top Bottom