BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Oii mamb vp wadau, mimi sipo team yoyote ila napenda mafanikio ya msanii iwe diamond ama alikiba ama msanii yoyote anaepata mafanikio kupitia music industry.
Sasa nirud kwenye mada kuu, nasema nina wasiwasi kwa alikiba sababu ya deal lake la SONY, nasema hivo sababu sasa hivi namuona DAVIDO alivo na stress za kukaa mda mrefu bila "kuruhusiwa" kuachia ngoma, imepelekea ameonesha hisiaa zake wazi katika mitandao ya kijamii mbalimbali ikiwemo, SNAPCHAT, hana raha, mashabiki wake hawana raha, wapenda mziki wake alikozaliwa nigeria hawana raha, na daily nikifuatilia naona wasanii kibao ngoma zinatoka na wengine wapya wanakuja na moto mkali,
Sasa ALIKIBA mtanzania mwenzetu na mashabiki wake kwa ujumla na mashabiki wanaopenda mziki tunawasiwasi ndugu yetu kama kuna uwezekano wa ku terminate contract bas fanya hivo ama kaa na management mshauriane msiangalia jina tu sababu ni SONY ama msiangalie hela tu, angalia reputation kwanza,
Mtu kama DAVIDO alikua na uwezo wa kuanzisha lebo yake ama studio kama diamond alivofanya(WCB), sasa sjui ndo sony wanavofanya kazi ama vipi mana miezi 9 unakaa bila ngoma aise na ulizoea kutoa ngoma na zina hit stress yake sio mchezo. Pole sana davido.
ALI KIBA WATCH OUT. Ni advice tu.
Sasa nirud kwenye mada kuu, nasema nina wasiwasi kwa alikiba sababu ya deal lake la SONY, nasema hivo sababu sasa hivi namuona DAVIDO alivo na stress za kukaa mda mrefu bila "kuruhusiwa" kuachia ngoma, imepelekea ameonesha hisiaa zake wazi katika mitandao ya kijamii mbalimbali ikiwemo, SNAPCHAT, hana raha, mashabiki wake hawana raha, wapenda mziki wake alikozaliwa nigeria hawana raha, na daily nikifuatilia naona wasanii kibao ngoma zinatoka na wengine wapya wanakuja na moto mkali,
Sasa ALIKIBA mtanzania mwenzetu na mashabiki wake kwa ujumla na mashabiki wanaopenda mziki tunawasiwasi ndugu yetu kama kuna uwezekano wa ku terminate contract bas fanya hivo ama kaa na management mshauriane msiangalia jina tu sababu ni SONY ama msiangalie hela tu, angalia reputation kwanza,
Mtu kama DAVIDO alikua na uwezo wa kuanzisha lebo yake ama studio kama diamond alivofanya(WCB), sasa sjui ndo sony wanavofanya kazi ama vipi mana miezi 9 unakaa bila ngoma aise na ulizoea kutoa ngoma na zina hit stress yake sio mchezo. Pole sana davido.
ALI KIBA WATCH OUT. Ni advice tu.