Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Unjani Subawona
Kiukweli wakuu ni mashaka na yawezekana hofu juu ya succession plan ya chadema baada ya mheshimiwa mbowe kutoka kwenye hiyo nafasi yake najiuliza who is next after him?
Kiukweli tuseme ukweli CCM Ina uwingi wa manpower kuizidi chadema Tena yawezekana ni Mara Mia au elfu moja Zaid ya chadema wakuu.
Najiuliza je chadema inashindwa kutengeneza watu wapya au uwingi wa asali inayopatikana CCM? CCM hata leo mwenyekiti akiondoka kwenye madaraka bado wanautitili wa manpower.
Kiukweli mheshimiwa mbowe ni jembe hata CCM nao wanalifahamu Hilo ni tishio, mpambaji na jembe haswa yaani mtu ujana wake woke amAmetumia kwenye harakati huyu ni che Guevara wa Afrika.
Wanachadema tafadhali Tuandae kizazi kipya cha Vijana wapambanaji tuiondoe CCM madaraka.
"By any means of necessary " hapa mods sijamaanisha violence itumike tafadhali. Jamaica farewell.
Kiukweli wakuu ni mashaka na yawezekana hofu juu ya succession plan ya chadema baada ya mheshimiwa mbowe kutoka kwenye hiyo nafasi yake najiuliza who is next after him?
Kiukweli tuseme ukweli CCM Ina uwingi wa manpower kuizidi chadema Tena yawezekana ni Mara Mia au elfu moja Zaid ya chadema wakuu.
Najiuliza je chadema inashindwa kutengeneza watu wapya au uwingi wa asali inayopatikana CCM? CCM hata leo mwenyekiti akiondoka kwenye madaraka bado wanautitili wa manpower.
Kiukweli mheshimiwa mbowe ni jembe hata CCM nao wanalifahamu Hilo ni tishio, mpambaji na jembe haswa yaani mtu ujana wake woke amAmetumia kwenye harakati huyu ni che Guevara wa Afrika.
Wanachadema tafadhali Tuandae kizazi kipya cha Vijana wapambanaji tuiondoe CCM madaraka.
"By any means of necessary " hapa mods sijamaanisha violence itumike tafadhali. Jamaica farewell.