Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
Vyombo vya ulinzi na usalama especially Uhamiaji, lichunguzeni hili.
===
MAJIBU YA IDARA YA UHAMIAJI KUHUSU URAIA WA WALLACE KARIA
===
MAJIBU YA IDARA YA UHAMIAJI KUHUSU URAIA WA WALLACE KARIA
Mnamo Agosti 03, 2017 Msemaji wa uhamiaji Ally Mtandu alitoa uthibitisho wa uraia wa aliyekuwa Makamu wa Rais wa shirikisho la soka TFF Wallace Karia kuwa ni mtanzania kutoka upande wa mzazi wake mmoja na tangu alipokua alichagua uraia wa Tanzania. Taarifa hizo zilitolewa na ofisi hiyo ya uhamiaji baada ya Mmoja wa wagomea wa kiti hicho kutoa taarifa kwamba Karia si Mtanzania huku akikosa vithibitisho kuonyesha kama si Mtanzania.
Kwa msingi huo Bwana Karia Alikuwa raia wa Tanzania kwa kuzaliwa chini ya kifungu cha (51) na (2) cha sheria ya Uraia ya Tanzania sura ya 357 (Rejeo la 2002) na kanuni zake wakati huohuo akiwa raia wa Somalia kwa kurithi.
View attachment 3262234