Nina mashaka na vishikwambi vya Sensa!

Nina mashaka na vishikwambi vya Sensa!

Ghost MVP

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2022
Posts
439
Reaction score
736
Hivi Vishikwambi vimetengenezwa China, nimekaa nimefikiria juu ya hizi nchi zetu za Afrika zinavyoandamwa na mataifa yaliyoendelea.

Vipi kama vimeunganishwa na mifumo yao hivyo wakawa wamepata taarifa zetu zote za sensa na kila kitu, sasa wana uelewa wa jamii yetu kiujumla.

Kama ni kwel, hizo taarifa watazitumia katika vitu gani?

17118836372206975249550965698186.jpg
 
Hivi Vishikwambi Vimetengenezwa Chini, nimekaa nimefikiria juu ya hizi nchi zetu za Afrika zinavyoandamwa Na mataifa yaliyoendelea.

What If zipo Connected na Mifumo yao hivyo wakawa wamepata Details zetu zoote za Sensa Taarifa Binafsi na kila kitu, now wana Idea ya Jamii yetu kiujumla, je kama ni kwel, hizo taarifa watazitumia katika issue gani?.

View attachment 2950011
Taarifa zenu wakizihitaji huwa mnazitoa bila hata nguvu kutumika.

Hawana haja ya kupitia njia za panya.
 
Hivi Vishikwambi Vimetengenezwa Chini, nimekaa nimefikiria juu ya hizi nchi zetu za Afrika zinavyoandamwa Na mataifa yaliyoendelea.

What If zipo Connected na Mifumo yao hivyo wakawa wamepata Details zetu zoote za Sensa Taarifa Binafsi na kila kitu, now wana Idea ya Jamii yetu kiujumla, je kama ni kwel, hizo taarifa watazitumia katika issue gani?.

View attachment 2950011
Wewe ndio utwambie watazitumia wapi
 
Watu mna hofu na kila kitu..yani mtashindwa hata kupuu kwa kuhofia choo alikitengeneza mzungu labda ameweka chip ana agenda za kuwachungulia... 😆
Umenikumbusha kitu.

Kuna jamaa ameandika bandiko choo cha ofisini kwake hivi:
" ukimaliza nisafishe na ole wako usiponisafisha nitawaambia watu siri zako unazozificha kwa nguo"...😁😁
 
Hivi Vishikwambi Vimetengenezwa Chini, nimekaa nimefikiria juu ya hizi nchi zetu za Afrika zinavyoandamwa Na mataifa yaliyoendelea.

What If zipo Connected na Mifumo yao hivyo wakawa wamepata Details zetu zoote za Sensa Taarifa Binafsi na kila kitu, now wana Idea ya Jamii yetu kiujumla, je kama ni kwel, hizo taarifa watazitumia katika issue gani?.

View attachment 2950011
Unadhani kwa akili yako hayo mataifa hayana hizo taarifa? Kabisaaa? Pole kama leo ndio unashtuka na kudhani umevumbua swali gumu. Kila mwaka cia wanatoa ripoti ya kidunia nchi kwa nchi, weka entry ya nchi unayoitaka unapata taarifa fresh kabisa tena iko mtandaoni kwa yeyote kuipata. Fikiria zile ripoti zao za siri zinakuwa zimesheheni nini.
 
Umenikumbusha kitu.

Kuna jamaa ameandika bandiko choo cha ofisini kwake hivi:
" ukimaliza nisafishe na ole wako usiponisafisha nitawaambia watu siri zako unazozificha kwa nguo"...😁😁
Umeona sasa...watu wana over thinking...hahahahahahahahha 😆
 
Duh,bado unavimind hivyo vidubwana

Ova
 
Back
Top Bottom