Nina mashaka sana na utoaji wa ajira za TPA

Nina mashaka sana na utoaji wa ajira za TPA

mtotomtamuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2016
Posts
602
Reaction score
1,459
Katika ajira zilizotangazwa juzi na TPA waliita watu wengi hadi ambao hawajasoma course maalu ya mambo ya Bandari ambayo inatolewa na chuo chao cha Bandari, na kwa bahati mbaya wakaita kwenye interview watu ambao hawakusoma mambo ya Bandari kwenda kwenye interview, na kwa bahati mbaya zaidi wakawatema vijana waliosoma kwenye chuo chao yaani hawakuitwa kabisa.

Sasa unamuita mtu kasomea mambo ya HR, mambo ya procurement, unamlipisha nauli kutoka mkoa mmoja hadi mwingine alafu unaenda kumuuliza mambo ya utaalam wa Bandari vitu ambavyo hakusomea na wale waliosomea na kutoa mamilioni pale Bandari college wengi hujawaita, je hao ambao hawakusoma mambo ya Bandari na mkawaita hamna mchezo unafanyika wapachikwe kwa mambo ambayo hawakusomea?

Mamlaka ya Bandari ilianzisha chuo cha Bandari ili isomeshe wafanyakazi wake na mwisho ikaanza kuchukua vijana waliohitimu 4,na 6 kusomea utaalam wa shuhuli za bandarini lakini cha kushangaza zinatokea ajira za wataalam wa Bandari, kwenye maombi ya kazi unamuita mtu aliyesomea fani tofauti mambo ya Bandari alafu unamuuliza mambo ya Bandari hivi atayajulia wapi?

kwenye ile Interview kama kuna mtu kapita na hakusoma Chuo cha bandari hasa ile course ya shipping and port Operation na akawin hiyo interview basi lazima mjiulize kama sio mipango yale maswali kayajibu kupitia wapi

Ni sawa na kuhitaji wataalam wa Afya then ukamchukue mtaalam civil engineering na ashinde interview then awe Doctor ni lazima kuwe na mkono wa mtu
 
😂😂😂 pole sana kijana ila kusema ukweli ile pepa ilikuwa motoo (operations officer II) 😀😀😀. Na wengne ukiona kitu hujasomea usiende utaenda kupoteza hela na muda na SUFURI juu, em fikiria zaid ya watu 700 walilamba 0.00
 
Ndo mtihani kama lingekuja upande wa maswali ya general ideas safi ila limekuja huko basi sio bahati ni hatua ya kujifunza siku nyingine hawatosegea
 
Katika ajira zilizotangazwa juzi na TPA waliita watu wengi hadi ambao hawajasoma course maalu ya mambo ya Bandari ambayo inatolewa na chuo chao cha Bandari, na kwa bahati mbaya wakaita kwenye interview watu ambao hawakusoma mambo ya Bandari kwenda kwenye interview, na kwa bahati mbaya zaidi wakawatema vijana waliosoma kwenye chuo chao yaani hawakuitwa kabisa.

Sasa unamuita mtu kasomea mambo ya Hr,mambo ya procurement, unamlipisha nauli kutoka mkoa mmoja hadi mwingine alafu unaenda kumuuliza mambo ya utaalam wa Bandari vitu ambavyo hakusomea na wale waliosomea na kutoa mamilioni pale Bandari college wengi hujawaita, je hao ambao hawakusoma mambo ya Bandari na mkawaita hamna mchezo unafanyika wapachikwe kwa mambo ambayo hawakusomea?

Mamlaka ya Bandari ilianzisha chuo cha Bandari ili isomeshe wafanyakazi wake na mwisho ikaanza kuchukua vijana waliohitimu 4,na 6 kusomea utaalam wa shuhuli za bandarini lakini cha kushangaza zinatokea ajira za wataalam wa Bandari, kwenye maombi ya kazi unamuita mtu aliyesomea fani tofauti mambo ya Bandari alafu unamuuliza mambo ya Bandari hivi atayajulia wapi?

kwenye ile Interview kama kuna mtu kapita na hakusoma Chuo cha bandari hasa ile course ya shipping and port Operation na akawin hiyo interview basi lazima mjiulize kama sio mipango yale maswali kayajibu kupitia wapi

Ni sawa na kuhitaji wataalam wa Afya then ukamchukue mtaalam civil engineering na ashinde interview then awe Doctor ni lazima kuwe na mkono wa mtu
Shuleni tunajazana ujinga wa kukariri matheory tu wkt mzigoni hali ni tofauti,ukifika kwenye kazi utakayoajiliwa wiki moja ya kwanza au mbili unapewa semina ya jinsi ya kufanya kazi sehemu hiyo na sometimes unaambiwa vitu tofauti kabisa na ulivyokaririshwa darasani na kuchukua degree so ipo hivyo..
 
Mwezi uliopita waliajiri watumishi kadhaa bila kutumia sekretarieti ya AJIRA.
Hapakuwa na tangazo la kazi wala la usaili.
Walipohoji watumishi wa mkataba wakaambiwa walikuwa kwenye kanzidata.
Daaaahhh
TPA sasa shamba la bibi
 
Katika ajira zilizotangazwa juzi na TPA waliita watu wengi hadi ambao hawajasoma course maalu ya mambo ya Bandari ambayo inatolewa na chuo chao cha Bandari, na kwa bahati mbaya wakaita kwenye interview watu ambao hawakusoma mambo ya Bandari kwenda kwenye interview, na kwa bahati mbaya zaidi wakawatema vijana waliosoma kwenye chuo chao yaani hawakuitwa kabisa.

Sasa unamuita mtu kasomea mambo ya HR, mambo ya procurement, unamlipisha nauli kutoka mkoa mmoja hadi mwingine alafu unaenda kumuuliza mambo ya utaalam wa Bandari vitu ambavyo hakusomea na wale waliosomea na kutoa mamilioni pale Bandari college wengi hujawaita, je hao ambao hawakusoma mambo ya Bandari na mkawaita hamna mchezo unafanyika wapachikwe kwa mambo ambayo hawakusomea?

Mamlaka ya Bandari ilianzisha chuo cha Bandari ili isomeshe wafanyakazi wake na mwisho ikaanza kuchukua vijana waliohitimu 4,na 6 kusomea utaalam wa shuhuli za bandarini lakini cha kushangaza zinatokea ajira za wataalam wa Bandari, kwenye maombi ya kazi unamuita mtu aliyesomea fani tofauti mambo ya Bandari alafu unamuuliza mambo ya Bandari hivi atayajulia wapi?

kwenye ile Interview kama kuna mtu kapita na hakusoma Chuo cha bandari hasa ile course ya shipping and port Operation na akawin hiyo interview basi lazima mjiulize kama sio mipango yale maswali kayajibu kupitia wapi

Ni sawa na kuhitaji wataalam wa Afya then ukamchukue mtaalam civil engineering na ashinde interview then awe Doctor ni lazima kuwe na mkono wa mtu
mmezoea kubebana sana hakuna sehemu ambayo mlikuwa mnarithishana kama TPA mambo yakiwa tofauti mnalialia
 
Back
Top Bottom