Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Ni kwanini sisi watanzania tutumie chanjo Ya Johnson & Johnson na ilihali Zanzibar wanatumia chanjo kutoka China (naomba kusahihishwa kama ni uongo).
Je, mbona hatusikii tena vifo, au wagonjwa wa COVID-19 katika nchi ya China ? Ina mana chanjo yao ni "effective" sana kuliko nyingine?
Ni hayo tu.
Je, mbona hatusikii tena vifo, au wagonjwa wa COVID-19 katika nchi ya China ? Ina mana chanjo yao ni "effective" sana kuliko nyingine?
Ni hayo tu.