Nina maswali kuhusu gari za umeme


Nimefurahi kusoma maoni yako mkuu.
Mie kuna jambo nafuatilia kuhusu haya magari ya umeme.

Nataka kujua yanahitaji power rating ya kiasi gani? ( mfano ile system yake ya motor na mifumo ya kuendesha gari inahitaji volts na currwnt ampere ngapi)
Ili kama nikiwezakuwa na kifaa cha kuzalisha umeme wa hicho kiwango, kitumike badala ya hizo battery, sitahitaji ku charge tena.

Namaanisha kifaa kinachozalisha umeme bila kutumia nishati ya mafuta au solar.
 

Kuna magari ya umeme ambayo wanaita..
Hybrid... nafikiri wewe ulimaanisha hayo..

Halafu kuna electric cars kabisa ambazo hazina engine kabisa ..wala hiyo motor unayosema...ndo kama Tesla..

Wenyewe wanasema hayana tofauti na lift za maofisini.....

Sasa haya electric cars ndo future

Hata hizo hybrid zitapita MDA hazitakuwepo
Hybrid ndo nusu umeme nusu mafuta...

Sasa swali lako kwenye gari kama Tesla..
Ni kwamba engine ndo hiyo Betri...
Ukitoa Betri hakuna gari ..manake Hata engine ya kawaida ...haina..
Hayana motor kabisa
 

Hii ntaingia chimbo nipate elimu zaidi. Siku zote nimekua nikiwaza kwamba gari za umeme zinatumia motor kusababisha mzunguko.

Shukrani sana The Boss
 
Kwa sasa hata nissan leaf ,toyota piuric c betri ni lithium betrie
 
Wa marekani ndio mdogo zaidi 115 V kama sikosei, hata bidhaa zao nyingi unakuta zinatumia hizo voltage
 
Hizi gari zinafanyiwa service? Kama ndio, ni vitu gani vinabadilishwa na ni baada ya muda gani au umbali gani?

Hapa siongelei ikiwa imeharibika, la hasha. Nimejikita kwenye general service.
 
Sasa mkuu hapa chanzo cha mzunguko unaoisukuma gari unasababishwa na kitu gani kama hata motor hayana?

Au matairi (magurudumu) ndio yametengenezwa kupokea umeme ili yazunguke kulifanya gari lisogee?

Elimu pana sana hii

Ahsante
 
Ofcourse kama hizi petrol stations za bongo watatengeneza charging stations itarahisisha kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
 
Ila lithium ion inawahi kuchoka tatizo, kuna battey jipya la technology tofauti alikuwa anapambana nalo kuliunda naona kashafanikiwa hilo litakuwa more efficient!

Sema mi naona mchawi ni range to yani! Gari ya kutumia 250 mile per charge iko poa sana ni more than 400kms kwa matumizi yetu ya mjini tu you save alot! Unaweza dunda nalo week nzima bila kuchaji kama unatumia wastani wa 50km per day!

Hamna noise polution yani kama watakaofanikiwa ku convert to 50% ya gari zao miji itakuwa so silent.
 
Sasa kifaa gani utatumia cha kuzalisha umeme mbali na hivyo? How can you run the motor?
 
Sasa mkuu hapa chanzo cha mzunguko unaoisukuma gari unasababishwa na kitu gani kama hata motor hayana?

Au matairi (magurudumu) ndio yametengenezwa kupokea umeme ili yazunguke kulifanya gari lisogee?

Elimu pana sana hii

Ahsante
Motor inazalisha energy ya ku propel matairi!

It works in the same manner kama gearbox tu japo gearbox inapokea input kutoka kwenye crankshaft na kuoanisha mzunguko wa engine uendane na matairi!

Tofauti ni kuwa motor inapokea input ya umeme direct toka kwenye battery i wonder kama kuna inveter sababu zote battery tayari inazalisha DC power. Yani system yako iko so simple sio kama system ya engine.

Gari za umeme nyingi naona zinatumia gia 1 tu ya mbele na moja ya nyuma😅! Ukiweka D ukikanyaga kakitu kanaenda tu mpaka kufikia peak power ya motor in horses!
 

Ahsante kwa maelezo mazuri mkuu. Lakini kumbuka hapo imekuja hoja kwamba hizo gari hazina motor kabisa, unachokiona ni battery tu. Ndio maana nikauliza inamaana hizo tairi za gari ndio motor zenyewe? Yaani zometengenezwa kupokea umeme na kuzunguka?
 
Ahsante kwa maelezo mazuri mkuu. Lakini kumbuka hapo imekuja hoja kwamba hizo gari hazina motor kabisa, unachokiona ni battery tu. Ndio maana nikauliza inamaana hizo tairi za gari ndio motor zenyewe? Yaani zometengenezwa kupokea umeme na kuzunguka?
No motor ipo wacha nikuoneshe uone motor ilivyo mounted!
 
Hizo gari kwa vyovyote zitakuwa na motor, vilevile lazima ziwe na gear box...

Na nahs itakuwa na transformer ya kustep down umeme kwa sabbu zitatumiwa na nchi tofauti tofauti kwa maana volts zinatofautiana kwa nchi nyingi..

Hazitakuwa na engine ila zitakuwa na motor na gears na gear box kwa ajili ya control speed
Ahsante kwa maelezo mazuri mkuu. Lakini kumbuka hapo imekuja hoja kwamba hizo gari hazina motor kabisa, unachokiona ni battery tu. Ndio maana nikauliza inamaana hizo tairi za gari ndio motor zenyewe? Yaani zometengenezwa kupokea umeme na kuzunguka?
 
Km 60 per day naanarudi bado ikiwa na bar moja ya charge
Daah...! Hizo gari sasa. Nafikiri muda wake kwa huku kwetu bado bado. Mfano sisi wazee road trip Mwanza to Dar. Dar to Mwanza. Hivyo itakuwa na sehemu zingine hamna vituo vya kujazia?. Hata vikija si mpaka utulie sana hapo mpaka ijae?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…