Trip ya mbali inakuwaje?Ndio kaka , unit 14 tu mzigo unajaa full
Hiyo inaweza kuwa poa. Maana systems ya Battery iwe inachajiwa na systems ya umeme wa gari. Yaani Battery na umeme,viwe vinabadirishana moto kwa kuzungukaNimefurahi kusoma maoni yako mkuu.
Mie kuna jambo nafuatilia kuhusu haya magari ya umeme.
Nataka kujua yanahitaji power rating ya kiasi gani? ( mfano ile system yake ya motor na mifumo ya kuendesha gari inahitaji volts na currwnt ampere ngapi)
Ili kama nikiwezakuwa na kifaa cha kuzalisha umeme wa hicho kiwango, kitumike badala ya hizo battery, sitahitaji ku charge tena.
Namaanisha kifaa kinachozalisha umeme bila kutumia nishati ya mafuta au solar.
No motor ipo wacha nikuoneshe uone motor ilivyo mounted!
Hizo gari kwa vyovyote zitakuwa na motor, vilevile lazima ziwe na gear box...
Na nahs itakuwa na transformer ya kustep down umeme kwa sabbu zitatumiwa na nchi tofauti tofauti kwa maana volts zinatofautiana kwa nchi nyingi..
Hazitakuwa na engine ila zitakuwa na motor na gears na gear box kwa ajili ya control speed
Bado itacoast kwenye muda. Maana sio sawa na mafuta unaweza kusimama kituo cha mafuta kujaza full kwa dakika hata 10. Lakini kujaza hilo kwa umeme muda wake sasaOfcourse kama hizi petrol stations za bongo watatengeneza charging stations itarahisisha kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
Ndo maana wanapambana kupata battery ambayo itachajiwa kwa muda mfupi zaidi na idumu kwa mile nyingi per charge!Bado itacoast kwenye muda. Maana sio sawa na mafuta unaweza kusimama kituo cha mafuta kujaza full kwa dakika hata 10. Lakini kujaza hilo kwa umeme muda wake sasa
How can you run the motor?
Kuna umeme unazalishwa bila kutumia solar wala gas (petrol au diesel). Sumaku zinapangwa vizuri kusababisha mzunguko unaozungusha kifaa cha kufua umeme. Ndio maana nikauliza consumption wa magari ya umeme specification ( power rating) ni zipi?Sasa kifaa gani utatumia cha kuzalisha umeme mbali na hivyo?
Kwahio hizo sumaku zitazalisha umeme continously bila kupoteza conductivity? Can i get a demonstration?I know and in fact understand that motor requires electricity to function.
Kuna umeme unazalishwa bila kutumia solar wala gas (petrol au diesel). Sumaku zinapangwa vizuri kusababisha mzunguko unaozungusha kifaa cha kufua umeme. Ndio maana nikauliza consumption wa magari ya umeme specification ( power rating) ni zipi?
Ili umeme unaozalishwa hapo utumike na hiyo gari badala ya kutegemea battery zinazoisha nguvu baada ya muda na kuhitaji kupata cherge tena.
Kwahio hizo sumaku zitazalisha umeme continously bila kupoteza conductivity? Can i get a demonstration?
Kwahio hizo sumaku zitazalisha umeme continously bila kupoteza conductivity? Can i get a demonstration?
Nina vifaa vingi vya zaman vina option ya ku switch kati ya 110 to 240vGari laki Litafanya kazi propery na charging time itakuwa sawa kama factors za manufacturer zitakuwa considered.
Charger ya nyumbani mara nyingi ni ya single phase. so unaweza install nyumbani kwenye garage/ parking space yako.
Cha kuzingatia ni kitu kimoja tuu.
Haya magari huwa yanakuwa dedicated kwenye market fulani ili kusiwe na usumbufu.
Tanzania single phase ni 220V - 240V na Three phase/ Phase line ni 380V - 415V
Wakati nchi nyingine mambo huwa tofauti. kuna baadhi ya nchi single phase ni 110 na wengine ni 170 yani ni mvurugano tupu.
Kama utakumbuka enzi zile wakati tunanunua radio za mtumba toka japan. kv Sony, Sanyo, Nec na maredio mengine kama Kenwood akai, nikai nyingi zilikuwa ni 110v wakati sisi tuna 220v so ililazimu kuwa na Power adopter/ Transformer au Converter ya 220v kwenda 110v Bila hivyo ukiiweka moja kwa moja kwenye socket lazima iungue power Supply yake.
So kama unaagiza hakikisha unaangalia issue ya umeme. Nikutoe hofu tuu kuwa umeme unatosha. Najua unamiss concept fulani za umeme ndio maana unaona charging time itakuwa kubwa, Laaaa hasha haiwezekani kama umeme ni mdogo hutafanikiwa kabisa kucharge au utaunguza charger yako kutokana na low voltage ambayo ni result ya high current lakini pia vifaa vya kisasa vina protection mechanism so hakita fanya kazi kama parameters za umeme hazipo sawa
View attachment 1985289
Kiambatanisho hicho kinainonesha Voltage/ Mains za kila nchi. So hakikisha kabla hujanunua charger lazima iendane na umeme wetu. Kama haiendani utalazimika na kuingia gharama kuwa na power adopters/ converters ili kutafuta compatibility
Kwenye battery za magari ndivyo wanaandika battery kwa hivo kwa watts yani kama ni nyingi sana ndo wanaandika kwh...battery za e car haziko rated mfano et 70v 50ah...hizo volt na ampia hata hazimuhusu mteja....wanapiga tu hesabu ya total watts inaadikwa hata power bank za kisasa hawaandiki eg 3.7v 20000mah badala yake wanandika total watts kama ni 70wh basiBattery inapimwa kwa unit mbili.
Current na Time. Yaani ampere hour (N)
Kwa hiyo Unit kWh. ni unit ya electric energy.
Kuna namna ulitakiwa uulize swali na pia uzitaje some parameters ndio upate jibu
Sasa kwan hio leaf ya bi mkubwa ina battery ya 100kwh??Sio kweli mkuu nimeona nissan leaf anayo bi mkubwa fuu inakata unit 14 , na imejengewa banda na mita yak inajite
Naona pepo la free energy limekuingia ...ok unataka zalisha huo umeme kwa njia gani??Nimefurahi kusoma maoni yako mkuu.
Mie kuna jambo nafuatilia kuhusu haya magari ya umeme.
Nataka kujua yanahitaji power rating ya kiasi gani? ( mfano ile system yake ya motor na mifumo ya kuendesha gari inahitaji volts na currwnt ampere ngapi)
Ili kama nikiwezakuwa na kifaa cha kuzalisha umeme wa hicho kiwango, kitumike badala ya hizo battery, sitahitaji ku charge tena.
Namaanisha kifaa kinachozalisha umeme bila kutumia nishati ya mafuta au solar.
Kuna mzee mmoja mkazi wa Kawe yupo kwenye Youtube Channel ya Milard Ayo niliona anatengeza Kifaa kinachofua Umeme kwa kutumia Sumaku pekee,,,, ila hakueleza jinsi anavyopata mzunguko kwa kuzalisha umeme..Nimefurahi kusoma maoni yako mkuu.
Mie kuna jambo nafuatilia kuhusu haya magari ya umeme.
Nataka kujua yanahitaji power rating ya kiasi gani? ( mfano ile system yake ya motor na mifumo ya kuendesha gari inahitaji volts na currwnt ampere ngapi)
Ili kama nikiwezakuwa na kifaa cha kuzalisha umeme wa hicho kiwango, kitumike badala ya hizo battery, sitahitaji ku charge tena.
Namaanisha kifaa kinachozalisha umeme bila kutumia nishati ya mafuta au solar.
Kuna mzee mmoja mkazi wa Kawe yupo kwenye Youtube Channel ya Milard Ayo niliona anatengeza Kifaa kinachofua Umeme kwa kutumia Sumaku pekee,,,, ila hakueleza jinsi anavyopata mzunguko kwa kuzalisha umeme..
Mkuu za kutwa, nna ndoto ya kuagiza hiyo gari, nataka kufahamu TRA walimpiga kiasi gani kwa nissan leaf ya mwaka gani, ule mfumo wa tra hauna sehemu ya ku calculate kodi za gari za umeme pia email hawajibuSio kweli mkuu nimeona nissan leaf anayo bi mkubwa fuu inakata unit 14 , na imejengewa banda na mita yak inajitegemea