Nina Matatizo Haya Kiafya

Nina Matatizo Haya Kiafya

Nuhu Juliani

Member
Joined
Mar 26, 2018
Posts
11
Reaction score
7
Habali zenu wadau
... Naombeni msaada mimi huwa naisi mtikisiko mwilini mda mwingine tumboni kwenyekigimbi ,mikononi na niakapo asubuhi misuli inaniuma sana na inakuwa ya kijani ila baadae hupungua kidogo ukijani wa kwenye misuli hasa mkononi
.... Inaweza kuwa nina ugwanjwa gani na unasababishwa na nini ?
 
Pima damu waone madini yanayopungua katika damu yako. Kunywa maji ya kutosha angalau litre mbili kwa siku. Kula matunda kama zabibu na ndizi mbivu. Fanya mazoezi ya viungo.
 
Kunywa maji yakutosha hata kama upo kwenye baridi, usisubiri hadi uhisi kiu ya maji, yaani muda wowote kunywa maji tu, pia hakikisha unalala hadi usingizi uishe,
 
Back
Top Bottom