JOSEPHAT J BAZA
Member
- May 4, 2013
- 27
- 22
Nimekuwa mgonjwa kuanzia mwaka 1994 ambapo mpaka sasa nina miaka 19 nikiwa mgonjwa. Dalili za tatizo langu ni hizi:
1. moyo kwenda mbio na kutokwa jasho kiasi cha kukosa hata usingizi,
2. Mwili kuwa dhaifu, kizunguzungu na wakati mwingine kuanguka na kupoteza fahamu,
3. Kichwa kuuma siku zote na nyayo za miguu kuwaka moto,
4. Kusikia maumivu makali kifuani upande ulipo moyo; maumivu ambayo huandamana na mkono wa kushoto,
5. Moyo kwenda mbio ninapokasirishwa au ninapopatwa na jambo la kuogofya.
Aidha nimetumia madawa mbalimbali ya BP toka hospitali mbalimbali kama vile hospitali ya mkoa ya Kigoma na hospitali ya rufaa ya Bugando bila mafanikio yoyote. Sasa nimekata tamaa kwani kwa sasa tatizo limezidi kunitesa natamani sasa nitoweke duniani kulingana na maumivu ninayopata. Kwa yeyote atakayeguswa anisaidie. Mawasiliano yangu ya email ni
mashakafene@yahoo.com na namba ya simu ni 0787-468179, 0763-233106
1. moyo kwenda mbio na kutokwa jasho kiasi cha kukosa hata usingizi,
2. Mwili kuwa dhaifu, kizunguzungu na wakati mwingine kuanguka na kupoteza fahamu,
3. Kichwa kuuma siku zote na nyayo za miguu kuwaka moto,
4. Kusikia maumivu makali kifuani upande ulipo moyo; maumivu ambayo huandamana na mkono wa kushoto,
5. Moyo kwenda mbio ninapokasirishwa au ninapopatwa na jambo la kuogofya.
Aidha nimetumia madawa mbalimbali ya BP toka hospitali mbalimbali kama vile hospitali ya mkoa ya Kigoma na hospitali ya rufaa ya Bugando bila mafanikio yoyote. Sasa nimekata tamaa kwani kwa sasa tatizo limezidi kunitesa natamani sasa nitoweke duniani kulingana na maumivu ninayopata. Kwa yeyote atakayeguswa anisaidie. Mawasiliano yangu ya email ni
mashakafene@yahoo.com na namba ya simu ni 0787-468179, 0763-233106