Nina maumbile madogo ya uume

Jikubali mkuu hayo mavitu unatafuta yatakuletea shida.
Na wengi wanaohibiri kutibu hizo mambo ni matapeli.Utaliwa vihela vyako bure.Jikubali,ndo ulivyo umbwa tulia,maisha yana mengi mazuri zaidi ya mdushe mkubwa.
Wala usipate stress za kutafuta hela ili upendwe na wanawake.Tafuta hela kwa manufaa yako.Utampata tu wa kukukubali ulivyo.
 
Hii mbinu nusu ya wanaume wataenda kujaribu,sema tu matokeo ndo hawataleta ila ukweli ni kwamba hata ufanye nini hutaongeza hata robo sentemita.
 
Mzee hatari sie wenye vibamia tunadharauliwa sana na hawa wanawake. Mwenzio nilienda mpaka mbeknyera huko kwa mganga nikuze kibamia changu lakini hamna lolote bado kipo vile vile.
Mzee tujikubali tuu imekula kwetu kwenye hiyo sector
Wabongo kwa kukatishana tamaa mpo vizuri.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ikiwa wastan inatakiw isome cm ngap ikiw imelala?
na isome cm ngap ikiwa imeamka?
 
Hii mbinu nusu ya wanaume wataenda kujaribu,sema tu matokeo ndo hawataleta ila ukweli ni kwamba hata ufanye nini hutaongeza hata robo sentemita.
Shida una ujuuaji wa kipuuzi, ngoma huwa Ina ongezeka Kutokana na mzunguko mzuri wa damu.
๐Ÿ‘‰Hiyo Tiba Ime saidia wengi, nilio ona wame tibiwa.
๐Ÿ‘‰Tena hapo Sija semea kitu myegea, Kama hujui tulia
 
๐Ÿ˜ฅPole san. Wakati unatafuta dawa kua makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ