Nani kakwambia kingereza ni dili?, nchi ngapia Duniani wanatumia lugha zao na wako mbali? Acheni kutudanyanya, with my swahili i can still be the best
Duh!hii ni kali ya mwaka!angalia wenzako wanavyo apply kazi wanakuwa na uhakika kwanza wewe unakuja kuja tu bana ala
View attachment 52009
That is why we do doubt!How are u sure that he is real mba holder who looking for a job? Dont trust everything posted
here.
That is why we do doubt!
Nani kakwambia kingereza ni dili?, nchi ngapia Duniani wanatumia lugha zao na wako mbali? Acheni kutudanyanya, with my swahili i can still be the best
angalia wenzako wanavyo apply kazi wanakuwa na uhakika kwanza wewe unakuja kuja tu bana ala
View attachment 52009
Hii nilipost mimi hapa jf. Na umeitumia bila kuni-consult. Cjui nikufanye nini aisee
mkuu kama huwezi kumsaidia kutafuta kazi si ungekaa kimya badala ya kupoteza nguvu zako kumponda.Are you real aware of the unemployment rate in Tz, for ur information he/ she is not alone
Plagiarism at work!pole mkuu!Hii nilipost mimi hapa jf. Na umeitumia bila kuni-consult. Cjui nikufanye nini aisee
Sawa sawa kabisa, sasa nimeona jinsi wewe ulivyo na Kiingereza kibovu kuliko mtu yeyote humu JF. Ngoja nikupe shule maana umejileta na kujikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Hapo kwenye bold ulitakiwa kuandika gramatically consistent sentences. Pia, huwa hatuna speaking and writing englishbadala yake ni spoken and written English. Hakuna kitu kama daily bases bali ni daily basis. Mwisho ni makosa kusema among the factors which hinders na badala yake ulitakiwa kusema among the factors which hinder.[/COLOR]with this type of broken english its difficult. my advice rewrite your cv in good correct way by using gramatically consistence centences.shape both speaking and writing english. try to go through news papers on daily bases and try to apply accordingly.
nafikiri sasa hili limekuwa ni tatizo la graduates wengi. English is a problem and it may be among the factors which hinders you from getting employment
Kama uliaga Deloitte rudi tu ukapate exposure. CPA na MBA bila uzoefu hakuna kitu, niko na vijana wa aina yako "Consolidation" ni msamiati kwao
Nani kakwambia kingereza ni dili?, nchi ngapia Duniani wanatumia lugha zao na wako mbali? Acheni kutudanyanya, with my swahili i can still be the best
Sawa sawa kabisa, sasa nimeona jinsi wewe ulivyo na Kiingereza kibovu kuliko mtu yeyote humu JF. Ngoja nikupe shule maana umejileta na kujikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Hapo kwenye bold ulitakiwa kuandika gramatically consistent sentences. Pia, huwa hatuna speaking and writing englishbadala yake ni spoken and written English. Hakuna kitu kama daily bases bali ni daily basis. Mwisho ni makosa kusema among the factors which hinders na badala yake ulitakiwa kusema among the factors which hinder.
Sasa umeelewa wee mpuuzi na Kiingereza chako cha Mzumbe? Chezea UDSM wewe? Ndio maana ulikimbilia degree na diploma za Vodafasta baada ya kushindwa kupata enrollment kwenye Chuo Kikuu pekee Tanzania! Pambaf!
Sawa sawa kabisa, sasa nimeona jinsi wewe ulivyo na Kiingereza kibovu kuliko mtu yeyote humu JF. Ngoja nikupe shule maana umejileta na kujikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Hapo kwenye bold ulitakiwa kuandika gramatically consistent sentences. Pia, huwa hatuna speaking and writing englishbadala yake ni spoken and written English. Hakuna kitu kama daily bases bali ni daily basis. Mwisho ni makosa kusema among the factors which hinders na badala yake ulitakiwa kusema among the factors which hinder.
Sasa umeelewa wee mpuuzi na Kiingereza chako cha Mzumbe? Chezea UDSM wewe? Ndio maana ulikimbilia degree na diploma za Vodafasta baada ya kushindwa kupata enrollment kwenye Chuo Kikuu pekee Tanzania! Pambaf!
mh kazi ipo hapakama si kwenda kuny....................... ningepewa BAN kwa ajili yako. sinaga kawaida ya kumtusi mtu ila sipend kashfa tena kutoka kwa mtoto mdogo kama wewe. Ambaye naweza kukuzaa huku nikiwanasoma gazeti.
Inawezekana mkuu, kama wamesoma degree za Vodafasta kutoka vyuo vingine. Kwa UDSM product hata mwaka wa Tatu tu wanajua hicho unachokiita Msamiati.