Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
Ze leo ndugu zamgu post kama ivyojieleza, ninamchubuko sehemu moja ambao unanitesa miaka nenda miaka rudi. Hauponi nimehangaika mahospitalini, Pharmacy lakini bado nikipata choo kigumu kidogo natoka hadi damu nilichunguzwa na sio bawasila na wala sina kinyama.
Najitahidi kula matunda, mbogamboga, juic fesh na kunywa maji mengi sana lakini wapi nikifuruliza kupata choo kama uharo kwangu ndio furaha.
Pia nikikabibia kubleed kama bado siku 2 huu mchubuko huuma mno ata kama sijaenda haja kubwa huwa najiulizaga mchubuko huu na maumivi ya kukalibia na [HASHTAG]#Hedhi[/HASHTAG] vinahusiana vipi?
Nisaidie nipone na dawa gani maana hadi dawa za kuingiza uko nimeweka lakini bado. [HASHTAG]#Asanteni[/HASHTAG] kwa wote naomba kuwasilisha.
Najitahidi kula matunda, mbogamboga, juic fesh na kunywa maji mengi sana lakini wapi nikifuruliza kupata choo kama uharo kwangu ndio furaha.
Pia nikikabibia kubleed kama bado siku 2 huu mchubuko huuma mno ata kama sijaenda haja kubwa huwa najiulizaga mchubuko huu na maumivi ya kukalibia na [HASHTAG]#Hedhi[/HASHTAG] vinahusiana vipi?
Nisaidie nipone na dawa gani maana hadi dawa za kuingiza uko nimeweka lakini bado. [HASHTAG]#Asanteni[/HASHTAG] kwa wote naomba kuwasilisha.