Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
Habari za mwamko waungwana,
nimejiuliza hili swali nikashindwa kupata majibu.
Kwa mfano timu A inacheza na timu B, Timu A wakapata penati, mchezaji wao akaipiga na kipa wa timu B akaitema mpira ukarudi uwanjani na kumkuta mchezaji mmojawapo wa timu A akafunga.
Je, hilo bao litahesabiwa kuwa ni la penati?
nimejiuliza hili swali nikashindwa kupata majibu.
Kwa mfano timu A inacheza na timu B, Timu A wakapata penati, mchezaji wao akaipiga na kipa wa timu B akaitema mpira ukarudi uwanjani na kumkuta mchezaji mmojawapo wa timu A akafunga.
Je, hilo bao litahesabiwa kuwa ni la penati?