Nina Miaka 22 ila sijawahi Sex kabisa na Mwanamke yeyote na ninaogopa sana

Nina Miaka 22 ila sijawahi Sex kabisa na Mwanamke yeyote na ninaogopa sana

1741910148373.jpeg


Punguza uongo dogo
 
Hongera kijana,

Kila Jambo na wakati wake, wengine walianza kwichi kwichi wakiwa lasita b lakini hamna faida yoyote waliyo pata,

Chamsingi jitunze, usijisikie vibaya, subiri Hadi siku ya ndoa ndipo uweze Kula tunda kimasikhara kihalali kabisaa.

Omba saana neema ya Ki- Mungu ikuongoze, Kwa maana Kwa ajili ya kawaida huwezi kabisaaa Ku kaa bila x, Hasa Zama hizi za mama samiyyaa
 
Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
Ongera sana! Hilo jambo linaitwa tendo la ndoa. Limehalalishwa kwa wanandoa tu. Nje ya hapo ni mikosi, majanga, mabalaa tupu, na upotevu wa fedha. Ngono, uzinzi, na uasherati hauna faida yoyote. Hata hivyo, angalia usije ukawa unapiga punyeto ambayo ni mbaya zaidi ya ngono. Punyeto anaharibu ubongo!
 
Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
Miaka 22 mkuu hujagegeda alooo. Ungesema makuzi yako na maisha unayo ishi tungejua tatizo. Maana mm kwenye umri huo nilikua nishakula hadi ma baa medi yani, umalaya huu😂
 
Ongera sana! Hilo jambo linaitwa tendo la ndoa. Limehalalishwa kwa wanandoa tu. Nje ya hapo ni mikosi, majanga, mabalaa tupu, na upotevu wa fedha. Ngono, uzinzi, na uasherati hauna faida yoyote. Hata hivyo, angalia usije ukawa unapiga punyeto ambayo ni mbaya zaidi ya ngono. Punyeto anaharibu ubongo!
Asilimia 80 ya vijana wamepitia hatua hyo ya kupiga punyeto na hawajajaribu ubongo....sema Tu apige ila asizidishe sanaa Bora punyeto kuliko kwenda kuwaparamia dada poa
 
Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
Tena tenha utulie na usijaribu kabisa kaka mkubwa maan sio na hakifai hiko kitendo usionea labda eti waliofanya wamefaid Wala hamna lolote huko ,ila ukiona ugumu kabsa nichek pm namm nimekua muhanga mpka hio miaka nilikua sijawahi sex ila nikajichanganya ninayopitia sasa ni Khali mbaya Niko ndichi watoto wakike ni zaid ya Vito vya thamani.
Zaidi ya zaidi Sali sana sana san nasisitiza teanh Sali sana Hali ya kuona labda rfk zako wanafurh Wala hakuna furaha huko ni manyanyaso matupu 😭😭😭
 
Back
Top Bottom