Navigator Paul
Member
- Mar 12, 2025
- 46
- 64
Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HongeraWakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
Ongera sana! Hilo jambo linaitwa tendo la ndoa. Limehalalishwa kwa wanandoa tu. Nje ya hapo ni mikosi, majanga, mabalaa tupu, na upotevu wa fedha. Ngono, uzinzi, na uasherati hauna faida yoyote. Hata hivyo, angalia usije ukawa unapiga punyeto ambayo ni mbaya zaidi ya ngono. Punyeto anaharibu ubongo!Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
Miaka 22 mkuu hujagegeda alooo. Ungesema makuzi yako na maisha unayo ishi tungejua tatizo. Maana mm kwenye umri huo nilikua nishakula hadi ma baa medi yani, umalaya huu😂Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
Asilimia 80 ya vijana wamepitia hatua hyo ya kupiga punyeto na hawajajaribu ubongo....sema Tu apige ila asizidishe sanaa Bora punyeto kuliko kwenda kuwaparamia dada poaOngera sana! Hilo jambo linaitwa tendo la ndoa. Limehalalishwa kwa wanandoa tu. Nje ya hapo ni mikosi, majanga, mabalaa tupu, na upotevu wa fedha. Ngono, uzinzi, na uasherati hauna faida yoyote. Hata hivyo, angalia usije ukawa unapiga punyeto ambayo ni mbaya zaidi ya ngono. Punyeto anaharibu ubongo!
Lengo anataka kuonesha kuwa sky is limitDuuh! Hivyo lengo la uzi wako ni nini?
Tena tenha utulie na usijaribu kabisa kaka mkubwa maan sio na hakifai hiko kitendo usionea labda eti waliofanya wamefaid Wala hamna lolote huko ,ila ukiona ugumu kabsa nichek pm namm nimekua muhanga mpka hio miaka nilikua sijawahi sex ila nikajichanganya ninayopitia sasa ni Khali mbaya Niko ndichi watoto wakike ni zaid ya Vito vya thamani.Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
Kuna nafasi za upadre njoo tukupeWakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa WENYE Utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??