Pastor Achachanda JF-Expert Member Joined May 4, 2012 Posts 3,023 Reaction score 1,315 Apr 20, 2013 #1 Wadau nipo Iringa Frelimo kuna jamaa hapa ananadi bidhaa za afya(chakula dawa) na hajawahi kuumwa.Mfano wa kuigwa loh!
Wadau nipo Iringa Frelimo kuna jamaa hapa ananadi bidhaa za afya(chakula dawa) na hajawahi kuumwa.Mfano wa kuigwa loh!
C Crispin Nyoni JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 413 Reaction score 90 Apr 20, 2013 #2 Usidanganyike huyo mwongo yaani hata homa za utotoni?Hata kichwa?Kwa dunia hii huwezi kuwa na miaka hiyo usiumwe.
Usidanganyike huyo mwongo yaani hata homa za utotoni?Hata kichwa?Kwa dunia hii huwezi kuwa na miaka hiyo usiumwe.
A Andika Jina Member Joined Jan 28, 2013 Posts 43 Reaction score 3 Apr 20, 2013 #3 Mkuu Nyoni hujaelewa sawasawa.Homa za utotoni pengine hakuzigusa.Kuna mdau humu babu yake(107) alikufa haijui panadol
Mkuu Nyoni hujaelewa sawasawa.Homa za utotoni pengine hakuzigusa.Kuna mdau humu babu yake(107) alikufa haijui panadol
A ablood8 Senior Member Joined Aug 12, 2010 Posts 181 Reaction score 90 Apr 20, 2013 #4 naona mmekosa vya kuongea na kuamua kuwadanganya watu wazima