Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,117
- 1,403
Tumia scaboma ya kupakaHabari za muda huu wanajamvi Nina mida wiki Sasa vipele Sehemu za Siri vinawasha na kwenye Mikono ila sana Sanaa Sehemu za Siri mapajani Kuna vipere vimekuwa vikubwa kiasi na vinawasha kama vijibu yaani
Nimetumia dawa lakini naona ishu bado
Kuna mambo natitaji kujua:Habari za muda huu wanajamvi Nina mida wiki Sasa vipele Sehemu za Siri vinawasha na kwenye Mikono ila sana Sanaa Sehemu za Siri mapajani Kuna vipere vimekuwa vikubwa kiasi na vinawasha kama vijibu yaani
Nimetumia dawa lakini naona ishu bado
Nitafatilia mzeeKuna mambo natitaji kujua:
1: Ni muda gani vinawasha zaidi kati ya usiku na mchana?
2: Kuna mgeni alikuja kwako au ulienda kutembelea sehemu ndani ya wiki kabla ya muwasho kuanza?
3: Pamoja na kuwasha sehemu zote za mwili, je hali ikoje kwenye sehemu za mikunjo/joints?
4: Kama una familia, je kuna ndugu au rafiki ambaye ana tatizo kama lako?
NB: Hii itasaidia jinsi ya kupambana na tatizo husika kwa ukamilifu.
Dah mi mlokole amjui tu
Haya [emoji3061][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe tulia upigwe powercef
Kapime vvu ukiambiwa ni negative kamwone Dk. wa magonjwa ya ngoziHabari za muda huu wanajamvi Nina mida wiki Sasa vipele Sehemu za Siri vinawasha na kwenye Mikono ila sana Sanaa Sehemu za Siri mapajani Kuna vipere vimekuwa vikubwa kiasi na vinawasha kama vijibu yaani
Nimetumia dawa lakini naona ishu bado
Nenda hospitali haraka na ukipona acha ngono zembe!Habari za muda huu wanajamvi Nina mida wiki Sasa vipele Sehemu za Siri vinawasha na kwenye Mikono ila sana Sanaa Sehemu za Siri mapajani Kuna vipere vimekuwa vikubwa kiasi na vinawasha kama vijibu yaani
Nimetumia dawa lakini naona ishu bado