Process ipoje mzee...ebu nisaidieNenda zenji kachukue gari ya 5.5 m iliyobaki unavusha na kusajili bara
Yeah ni yangu na masharti ni yangu sielewi kwa nini wewe inakusumbua.Masharti mengi kama Mganga na milion 7 yako??
Pesa tu process watafanya wao wauzajiProcess ipoje mzee...ebu nisaidie
Nawapataje hao wauzaji naomba nipe connection.Pesa tu process watafanya wao wauzaji
Asikupangie boss kwanza ilibid uongeze ayo mashart ni machache kwa mil 7Yeah ni yangu na masharti ni yangu sielewi kwa nini wewe inakusumbua.
Tulia mtu aenjoy na pesa zake.Masharti mengi kama Mganga na milion 7 yako??
Zanzibar hiyo mil.5.5 unapata showroom auNenda zenji kachukue gari ya 5.5 m iliyobaki unavusha na kusajili bara
Kwa mtu ingia insta zanzibar_usedcarsZanzibar hiyo mil.5.5 unapata showroom au
Nimefatilia nimeambiwa ikiingia bara inakadiriwa upya na TRA ata kama umenunua kwa mtu.Mie sihusiki na hiyo mitandao do it hata your own risk. Mie nanunua kwa washikaji ila hizo ni bei elekezi tena zikiwa na cha juu. Ukiingia mtaani unapata chini ya hapo
Sawa mkuunitafute
Check me 0678604333Sawa mkuu