Nina milioni 10, biashara gani mnanishauri nifanye maeneo ya Kahama?

Nina milioni 10, biashara gani mnanishauri nifanye maeneo ya Kahama?

aBuwash

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2023
Posts
262
Reaction score
497
Wana jamii kwanza habari zenu,

Mimi ni kijana naombeni ushauri wenu ni fursa zipi za biashara mnanishauri nifanye kwa hapa Kahama, maana mimi ni mgeni.

Naombeni miongozo yenu, naamini hamtaniangusha.
 
Peleke UTT utakuwa unapata kama 80K faida. Ikikaa kianzia miezi 3 unaweza kuichukua. Huo muda utumie kufanya utafiti wa kutosha maana umesema wewe ni mgeni huko.

Kahama ni Business hiyo fedha ukipata idea nzuri rahisi kutajirika.
 
Peleke UTT utakuwa unapata kama 80K faida. Ikikaa kianzia miezi 3 unaweza kuichukua. Huo muda utumie kufanya utafiti wa kutosha maana umesema wewe ni mgeni huko.

Kahama ni Business hiyo fedha ukipata idea nzuri rahisi kutajirika.
Nashukur sana kiongoz
 
Mzee stendi pale Una paona??, crdb new branch umesha pacheki??.

kule choma zone napo??, katege huduma za fedha Kuke, competition ni ndogo, na wateja wapo mzee.

Kuna hii ya chipsi kule kwenye club, wanao fanya vizuri wachache, wengine ni twende twende tu.
 
Wana jamii kwanza habari zenu..
Mimi ni kijana naombeni ushauri wenu ni fursa zipi za biashara mnanishauri nifanye kwa hapa Kahama..
Maana mimi ni mgeni.

Naombeni muongozo yenu naamini hamtaniangusha..
Kuwa wakala wa bank na Mitando kutoa na kuweka pesa[emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817].
 
Before biashara kuna tafiti ambazo unaweza zifanya ili kutengeneza image ya biashara gan unaona kwa eneo uliopo inaweza kulipa kiasi gan na inauhitaji kiasi gani. Kwa eneo hilo ukishapata majawabu na kunote pembeni
Pia ndani ya tafiti unaweza jua mengi before ujafanya biashara
Ko kwa maoni angu tafitii ni muhimu kuliko maamuzi yeyote
 
Wana jamii kwanza habari zenu,

Mimi ni kijana naombeni ushauri wenu ni fursa zipi za biashara mnanishauri nifanye kwa hapa Kahama, maana mimi ni mgeni.

Naombeni miongozo yenu, naamini hamtaniangusha.
Jaribu mgodini mkuu pana fursa nzuri
 
  • Nzuri
Reactions: EEX
Back
Top Bottom