Wasio na nyumba wanapenda sana kukatisha tamaa watu wanaotaka kujenga.Vitisho vimeanza. Nyumba zetu za kawaida anaweza kuhamia kabisa akaremba akiwa ndani
Sisi kuna sehemu tulimpa ramani ya ujenz wa kanisa, mafund wote waliotangulia kuanzia vifaa mpaka ujenz ni zaidi ya 30ml, hiyo ilkuwa kusimamisha nguzo 30 za jengi n.kHapindishi ukuta lakini? Na mijengo ya kisasa ile anaiweza akipewa ramani tu?
Option hapo imetoka wapi?Kwa mtu anaye strugle na cash , hutakiwi kumpa options ngumu ngumu
Uzuri ameweka wazi kabisa , ana 20 millions , huna sababu ya kumpatia extravagant options
Ndo vitisho vyenyewe hivyo.
Ambao wamejenga ama wamesimamia ujenzi, kwa 20ml ya vyumba vitatu na kiwanja anacho, anapiga hatua kubwa mno. Apate tu mafundi waaminifu ambao watapiga hesabu zao vizuri kwa kutozidisha vifaa pamoja na gharama ya ufundi.Wasio na nyumba wanapenda sana kukatisha tamaa watu wanaotaka kujenga.
Unakuta mtu tayari ana "mansion" lake kichwani kwahiyo hata ukimwambia una 100M atakwambia haitoshi.
Binafsi huwa nawafananisha na walevi jinsi wanavyo diss wasio kunywa pombe. Ni ilimradi na wewe uwe kama wao wote mfanane.
Ila alibalansisha costSisi kuna sehemu tulimpa ramani ya ujenz wa kanisa, mafund wote waliotangulia kuanzia vifaa mpaka ujenz ni zaidi ya 30ml, hiyo ilkuwa kusimamisha nguzo 30 za jengi n.k
Kutoka kwake yeye, mambo yafuatayo akaanza kutueleza.
1. Raman inasema kila nguzo ni nondo 6 za 16mm, ila yeye ametuambia kwa ghorofa moja tu inayobeba watu 50 mpaka 70 na wingi wa nguzo, kila nguzo nondo 4 za 16mm zinatosha sana.
2. Mainjinia wanaweka mambo mengi ktk raman ili kusaidia kupatikana kwa kibali cha ujenzi.
3. Mafundi walipendekeza zile kokoto nyeusi, ila yeye akatuambia tutafute zile kokoto ambazo ni jiwe, na kweli tulizipata uko mbutu kwa 700k kipind kile, ile Mende Scania.
Mambo ni mengi sana, sio rahisi kuyaandika yote kupitia siimu.
Mkuu huyu jamaa ana 20 milions , na inaonekana ni ujenzi wake wa kwanza , si hivyo tu inaonekana pia , ni mtu wa kuunga unga !, Kama tulivyojenga wengi wetu humuOption hapo imetoka wapi?
Saa zingine, kumwambia mtu afunguke zaidi ndiyo jibu bora na lenye msaada zaidi kuliko kumwambia mtu ahamie halafu atamalizia akiwa ndani.
Hivo hivo!Wasio na nyumba wanapenda sana kukatisha tamaa watu wanaotaka kujenga.
Unakuta mtu tayari ana "mansion" lake kichwani kwahiyo hata ukimwambia una 100M atakwambia haitoshi.
Binafsi huwa nawafananisha na walevi jinsi wanavyo diss wasio kunywa pombe. Ni ilimradi na wewe uwe kama wao wote mfanane.
Wenyewe tunaelewana. Hizo technical details tunawaachia nyinyi. Tukisema vyumba vitatu tunaelewa hadi wastani wa ukubwa wa vyumba.Uko sahihi sana.
Nb: pia wapo wanaomini ghorofa daima ni expensive kuliko bungalow
Na zaidi Yaani katika vitu vinavyonishangaza hua ni hili la mtu kudefine nyumba kwa idadi ya vyumba..wakati hiyo ni spatial arrangements tu. Bora wanaoeleza kwa ukubwa wa skwea mita.
Mkuu huyu jamaa ana 20 milions , na inaonekana ni ujenzi wake wa kwanza , si hivyo tu inaonekana pia , ni mtu wa kuunga unga !, Kama tulivyojenga wengi wetu humu
Mtu mwenye pesa zake hawezi kuja hapa kuuliza , hua wanaingia mazima na kuchoma akaunti zao hadi nyumba inaisha ,then anapiga hesabu alichotumia
Hasa kwa mtu mwenye pesa taslimu za kuungaunga ni muhimu sana tena sana kujua exactly ni nyumba ya vyumba vitatu ipi atakayoweza kuijenga.Hivo hivo!
Jamaa ana 20 halafu anaambiwa inaweze isitoshe ,kwa nyumba ya vyumba 3
Kisaikolojia anaandaliwa kufeli
Mkuu Unacomplicate mambo. Hivi unafikiri haya unavyosema hatuyajui? Kauliza general,tunampa general idea. Akitaka undani atauliza tena tutampa kiundani.Pia msipende kujibu maswali kiurahisi ili uonekane wewe ni mtu wa maana kwa sababu unampa mtu moyo.
Sometimes mtu inatakiwa aondolewe kutoka fikra fulani kabla ya kuanza project yake.
Kwa mfano, mleta mada ni vizuri akishauriwa kuwa nyumba vyumba vitatu haielezi nini unachohitaji.
Angeleta ramani, au akaelezea size ya vyumba etc...
La sivyo tutakuwa tunajibishana tu, unaweza, huwezi, unaweza, huwezi ... kwa siku kumi. No description.
Kwa haya usemayo basi inabidi jukwaa hili tuwaachie pros engineers,architects na wenzao.Hasa kwa mtu mwenye pesa taslimu za kuungaunga ni muhimu sana tena sana kujua exactly ni nyumba ya vyumba vitatu ipi atakayoweza kuijenga.
Lazima ujue ni kipi anachofikiria na kwanini anataka self contained room kwa mfano.
Ukimwambia ziba paa na weka grill halafu hamia, je atamaliza kwa kutumia fedha kiasi gani? Lazima ajue hilo.
Kwa hiyo ni muhimu sana kujua exactly aina ya nyumba itakayotosha 20mil.
Na zipo nyingi tu nzuri.
Ila lazima ajue kipi at give up na kipi ataongeza.
Ndiyo asilimia kubwa yetu sisi tunavyojenga na siku zote nitamwambia mtu awe na picha kamili kabla ya ku-execute.
20M KWENYE MAENEO TAMBARARE ANAPANDISHA NYUMBA YAKE VYEMA TUWasio na nyumba wanapenda sana kukatisha tamaa watu wanaotaka kujenga.
Unakuta mtu tayari ana "mansion" lake kichwani kwahiyo hata ukimwambia una 100M atakwambia haitoshi.
Binafsi huwa nawafananisha na walevi jinsi wanavyo diss wasio kunywa pombe. Ni ilimradi na wewe uwe kama wao wote mfanane.
Na nyumba nyingi zinazojengwa na watu wenye vipato vya kawaida ni za thamani hiyo.20M KWENYE MAENEO TAMBARARE ANAPANDISHA NYUMBA YAKE VYEMA TU
WENGINE TUNAJENGA NA ZA KUKOTELEZA SIJUI HATA KAMA ZINAFIKA HIYO 20M
Asilimia kubwa ya wabongo wa maisha ya Kati nyumba wanamalizia wakiwa ndani. Kuna watu kibao wanajenga magorofa na wanamalizia wakiwa ndani, mkuu labda wewe si mtanzania wa maisha ya kawaida.Option hapo imetoka wapi?
Saa zingine, kumwambia mtu afunguke zaidi ndiyo jibu bora na lenye msaada zaidi kuliko kumwambia mtu ahamie halafu atamalizia akiwa ndani.
NI kweliNa nyumba nyingi zinazojengwa na watu wenye vipato vya kawaida ni za thamani hiyo.
Ukimkuta kajitutumua sana inapanda mpaka 30M tena baada ya kujenga kwa muda mrefu.
tiles nimeelekezwa MKURANGA wanauza kwa jumla ila sijapafahamu vyemaKama ni kigamboni ningekusaidia sehem ya kupata baadhi ya material kwa bei rahisi sana
Mfano..kokoto...tiles..tofali..nk
Hyo 20m..unapaua..unaweka grill.. unamaliza na chooni unahamia...
Kifupi haya material huwa yanabaki kwenye nyumba za mabos wenye pesa zao
Aisee!NI kweli
msingi miezi sita
kuta mwaka
kupaua mwaka
sewage system miezi sita
umeme na finishing mwaka