Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
Hapana sijakosea unajua sisi mkopo kupata kwa kipindi iki kidogo ilikuwa ngumu kwahiyo ukipata nafasi ya kuchukua ilikuwa bora maana kila mtu alikuwa anawaza lake kutokana na janga la Covid
Mkuu kweli unachukua mkopo wa 45m bila kufanya tathmin yoyote!?Mimi pamoja na mke wangu ni watumishi wa serikali tumekaa pamoja tumeshauliana tumeamua kuchukua mkopo wa mil 45 lakini tatizo tulilonalo hatuna idea yoyote ya biashara maana kazini tunaenda asubuhi na kurudi jioni. Japo mungu ametujalia tumeweza kujikwamua na kujenga nyumba ya kuishi maeneo ya boko chasimba.
Shida yangu kwenu je ni biashara gani naweza kufanya ili tuweze kujipatia kipato cha ziada bila kuaribu utaratibu wa kazi maana ikifika tarehe 14 wote tunakuwa tumeishiwa tunabakia ndani kuangalia CD za kikorea na kijapani.
Mawazo niliyokuwa nayo ni÷
1. Ninunue daladala ya habiria.
2. Ninunue bodaboda 5
3. Ninunue bajaji mbili
4. Nifuge kuku wa nyama
Maana siwezi kuweka fixed account kwakuwa pesa yenyew ni ya mkopo ushauri wenu ndugu zangu lakini wazo la daladala ndo tumelipa kipau mbele kikubwa naomba kwa mwenyewe uzoefu na iyo biashara ya daladala anipe msaada kwa umakini maana makato ya miaka 5 sio powa kabisa
Ndugu sisi watumishi wa serikali maisha yetu asilimia kubwa tunategemea Mikopo maana ukisema ujichange uje kupata 45 mil karibia miaka kumi na marejesho yetu sio cash in hands Bali wanakata moja kwa moja kwenye payslip kwahiyo ni swala la kawaida na ndo maisha yetu ndugu
Usifanye ivyo.. Tafuta dereva anayeendesha gari.. Panda dala dala mbili tatu.. Dereva utayemwelewa ndio unamchua.. Linki umeziona? Angalia post yangu iliyopita ubonyeze hizo link.Utakuwa umenisaidia sana ndugu maana naona Giza mbele yangu mpka nawaza nimchukue kijana kijijin nimpeleke NIT fasta apige kozi ya miezi 4 nimuingize barabarani apambane maana madereva wa DSM kidogo wanahitaji mtu ambae ni mzoefu kwenye biashara maana sisi tunaotaka kuanza inakuwa changamoto kwelikweli
Toa suluhisho sasa. Yaani taja angalau biashara kadhaa zenye sifa hizo tatu ulizotajaVyovyote unavyochagua Biashara ya kuifanya hakikisha inasifa hizi.
1)Sustainable; ikufadishe mpaka unazeeka na kufa.
2)Profitable; kwa Mtaji uwo faida isipungue 80,000 Tzs minimum na hapo kwasabu husimamii mwenyewe 100℅.
3)Managable; inajiendesha bila wewe kuhusika (kwasababu wewe sio enterprener).
Hizo idea zako zote hazi-feet humu.
Be forward inaingiza magari sichini ya 50 kwasiku Tzs especially DSM miaka 20 mbele gari itakuwa kawaida kumili na Network ya balabala inapanuliwa unashindwa kupata wazo lenye Sustainability hapa.
Nimesoma kwa makini post yako lakini hujanishauri nifanye kipi na kipi niache nduguVyovyote unavyochagua Biashara ya kuifanya hakikisha inasifa hizi.
1)Sustainable; ikufadishe mpaka unazeeka na kufa.
2)Profitable; kwa Mtaji uwo faida isipungue 80,000 Tzs minimum na hapo kwasabu husimamii mwenyewe 100℅.
3)Managable; inajiendesha bila wewe kuhusika (kwasababu wewe sio enterprener).
Hizo idea zako zote hazi-feet humu.
Be forward inaingiza magari sichini ya 50 kwasiku Tzs especially DSM miaka 20 mbele gari itakuwa kawaida kumili na Network ya balabala inapanuliwa unashindwa kupata wazo lenye Sustainability hapa.
Du mbn naona kama pagumu hapo ndug yani dereva nitoe tu barabarani bila kuwa na background yake kweliUsifanye ivyo.. Tafuta dereva anayeendesha gari.. Panda dala dala mbili tatu.. Dereva utayemwelewa ndio unamchua.. Linki umeziona? Angalia post yangu iliyopita ubonyeze hizo link.
Nasikitika kufahamu kuwa kuna mtu anaweza akachukua mkopo tena wa 45 million bila na plan yoyote ya kufanyia huo mkopo.Mimi pamoja na mke wangu ni watumishi wa serikali tumekaa pamoja tumeshauliana tumeamua kuchukua mkopo wa mil 45 lakini tatizo tulilonalo hatuna idea yoyote ya biashara maana kazini tunaenda asubuhi na kurudi jioni. Japo mungu ametujalia tumeweza kujikwamua na kujenga nyumba ya kuishi maeneo ya boko chasimba.
Shida yangu kwenu je ni biashara gani naweza kufanya ili tuweze kujipatia kipato cha ziada bila kuaribu utaratibu wa kazi maana ikifika tarehe 14 wote tunakuwa tumeishiwa tunabakia ndani kuangalia CD za kikorea na kijapani.
Mawazo niliyokuwa nayo ni÷
1. Ninunue daladala ya habiria.
2. Ninunue bodaboda 5
3. Ninunue bajaji mbili
4. Nifuge kuku wa nyama
Maana siwezi kuweka fixed account kwakuwa pesa yenyew ni ya mkopo ushauri wenu ndugu zangu lakini wazo la daladala ndo tumelipa kipau mbele kikubwa naomba kwa mwenyewe uzoefu na iyo biashara ya daladala anipe msaada kwa umakini maana makato ya miaka 5 sio powa kabisa
Wazo langu kubwa ni kuagiza gari ya biashara maana sina mda kabisa wa kufanya biashara nyingine maana kazini tukiingia asubuhi kutoka ni jioni kwahiyo nimejaribu kuangalia kama naweza kupata kidogo kitu cha kusogezea maisha yangu maana mshahara siku zote hautoshi ndugu je wew kwa kazi yangu ungenishauri nifanye kitu gani bila kuathiri utaratibu wa kazi .Maana naogopa biashara nyingine naona kuangukia pua kutokana na kukosa mda wa kusimamiaNasikitika kufahamu kuwa kuna mtu anaweza akachukua mkopo tena wa 45 million bila na plan yoyote ya kufanyia huo mkopo.
It sounds strange
Aise usiseme hivyo ndugu sio wote tuliojaliwa huwezo wa kuwa na Idea za biashara wazo lako linaweza kuwa muhimu kwangu kwa kunikomboa mim pamoja na wanangu hakika ukiwa kwenye hizi kazi zetu za serikali unaweza kucheka sana ndugu na kusema kama unayoyaona ni maajabu lakini ndo ukweli huo kuna watu nafanya nao kazi mtu anachukua mkopo wa mil 25 ananunua gari la kutembelea angali ata kiwanja hana ukimuuliza kwanin usifanye biashara ukazalisha anakuambia anaogopa kupoteza pesa zake bora atembelee gari mengine baadaeMimi huwa napingana na wanaojitangaza kupata fedha halafu hawajui wafanye nini?
Labda mtu awe chizi ndiye anaweza kutafuta then aanze kuomba ushauri wa namna ya kutumia au kaziongeza.
Hata ukikopa ni sawa na kusema kuwa umezitafuta.
Ndugu mimi ndo naanza sina uzoefu aise je nikimpa akalipigisha kazi likaaribika alafu yeye akalala mbele mda wa kushinda mahakamani ntautoa wapi nduguTafuta kuna Uzi wangu humu Wa kuomba mawazo kama wewe. MIE niliaamua kufanya kitu kimoja ivi. Nanunua Gari nampatia Dereva namuambia niletee Hela hii kwa miaka kadhaa baada ya hapo Gari ni ya kwako. Na hapo hakuna matengenezo ama kushikwa na majembe Hayo yote ni juu yake . mnaandikiana mktaba tu
Naomba namba yako nikupigie tuongee ila sio kuwa nitakuomba Hela zako kaka. Nakupatia tu mawazo. Mana hata MIE Nilikuja kuomba mawazo humu afu nikajumlisha na ya kwangu ndo nikapata linalonifaaNdugu mimi ndo naanza sina uzoefu aise je nikimpa akalipigisha kazi likaaribika alafu yeye akalala mbele mda wa kushinda mahakamani ntautoa wapi ndugu